Posts

Showing posts from September, 2013

Leoleoplus,com

NENO LA UFUNUO LA WIKI HII KWA KANISA ULIMWENGUNI Nyoka asiwe mwerevu kukupita wewe

Image
Kiongozi mkuu wa Huduma ya Neno la Ufunuo-Mtume Alam J.Kayengela akiwa kwenye sherehe za kiibada za kustarehe pamoja na Mungu kwa kushinda nyumbani mwa Mungu kuanzia asubuhi mpaka jioni-kama inavyo fanyika kanisani hapo kila siku ya ijumapili alifundisha Neno la ufunuo akasema JIHADHARI SANA NYOKA ASIKUZIDI WEREVU Mwanzo 3;1 nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama WOTE... kwa andiko hilo tu, yaweza kutosha kuku patia Ufunuo. Nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama WOTE si,binadamu WOTE. Kwahiyo kihalisi kabisa,nyoka hakukusudiwa kuwa na uerewa kuliko mwanadamu. Adamu na Eva pale nyumbani kwao bustanini waliishi wakiwa na uerewa kuliko wanyama WOTE na nyoka akiwemo.Kwa uerewa huo tu, waliweza kuwatawala wanyama WOTE na nyoka akiwemo-mwz 1;26.... Dhambi iliharibu hayo yote. Kwanini walitenda dhabi? jibu nirahisi tu,Nipale nyoka alipo wazidi werevu. Nirahisi tu,kama hivyo. HAMASIKA ZAIDI KUWA NA UEREVU KULIKO NYOKA Jiulize mwenyewe na ujihakikishie jibu. Una wezaje kumshinda adui y...

KUTHAMINI ULITHI

Image
 Kiongozi mkuu wa Huduma ya Neno la Ufunuo Mwalimu na Mtume Alam Japhet Kayengela ambaye ndiye mwanzirishi wa Huduma hiyo-katika ibada ya jana alisema; -Ulithi nilango lako lakuingilia mbinguni -Nimahali pale ambapo Mungu amekuweka ili kupitia hapo utafika mbinguni -Nimahali paitwapo-kusudi la Mungu Mtume Kayengela katika hali ya kiufunuo alitoa mfano wa watu 7 maalumu walio pewa heshima na Mungu katika historia ya Biblia-akasema,watu hao wanapatikana katika vitabu 4 tofauti 1.Ezekieli 14;12-16-hapo unamuona-Nuhu,Danieli na Ayubu 2.Yeremia 15;1-hapo unamuona Musa na Samweli 3.Marko 9;2-8-hapo,tuna muona Musa na Eliya-lakini tuna sisitiza Eliya-kwakuwa Musa tullisha mtaja 4.Mathayo 11;11-hapo tuna muona Yohana mbatizaji -Apostle Kayengela alisema kuwa,watu hao 7 unao waona hapo wakipewa heshima ya tofauti kabisa na Muumbawao Mungu aliwataja kitofauti ili kuangalia kama unaweza kujizuia katika dunia ya kizazi hiki kuelekea kufanana nao. NUHU-alijenga safina,...

NGUVU 4 ZINAZO MUHAMASISHA MWENYE HEKIMA KUENDELEA KUJITOA KIKAMILIFU KWENYE KUSUDI AU KWENYE MAPENZI YA MUNGU-sehemu ya 4 UNYAKUO

Image
Apostle Alam-Akihubiri jana kanisani hapo-alianza kwa utangulizi AKASEMA Kuna nguvu 3 zinazo wasukuma walio poteza mapenzi ya Mungu katika maisha yao -Kumbuka kwamba siyo wote walio fanikiwa kuya ishi mapenzi YaMungu-kwasababu hiyo ndo maana kuzimu yamoto inapokea watu kila siku. Malanyingi wanao shangaa pale wanapo jikuta wako kuzimu ya moto niwale walio jidhania kuokoka. Waliishi kawaida tu,na waliishi kiholela huku wakipafanya mbinguni kuwa mahali parahisi kupafikia.Walikuwa nawokovu feki huku wakiogopa kuchukua hatua za kimaamuzi kujighalimu maisha ya wokovu wa kweli. Apostle Kayengela ALISEMA NGUVU HIZO 3 NIZIPI? a.Unafuu wa maisha au utajiri-Hufanyika kuwa nguvu inayo muhamasisha mtu huyu aliye poteza mapenzi ya Mungu maishani mwake kuhamasika kujitoa kwa Mungu au kwenye mambo ya Mungu-Kiongozi huyo mwanzirishi wa Huduma ya Neno la Ufunuo-ALIONGEA KWA MSISITIZO NAKUSEMA- -Binafsi unatakiwa kujiuliza-NI NINI HASA KINACHO KUSUKUMA KUFANYA HAYO UNAYO YAFANYA KWA MUNG...

NGUVU 4 ZINAZO MUHAMASISHA MWENYE HEKIMA KUENDELEA KUJITOA KIKAMILIFU KWENYE KUSUDI AU KWENYE MAPENZI YA MUNGU-sehemu ya 3

Image
Mtume na Mwalimu Alam J.Kayengela ambaye ndiye kiongozi mkuu mwanzirishi wa Huduma ya Neno la Ufunuo-akihubiri jana kwenye sherehe za kiibada za kustarehe pamoja naMungu siku ya saba ya ijumapili iliyo barikiwa na Mungu-sherehe zinazo anza as.mpaka jioni kila siku ya ijumapili alianza kwakusema kwamba Hata siku moja,Mungu hata itelekeza kazi yake aliyo ianzisha-maana imeandikwa kwamba,Yeye aliye anzisha kazi ndani yenu ataitimiza. Hata kwenye Ayubu 42;2 anasema-Makusudi yake hayata zuiliwa. Mtume Alam alisema kwamba,siku za mwanzoni alipo anza Huduma akiwa anaabudu na mke wake tu,chini ya mwembe,hata mkewe alitilia mashaka wito wake,lakini kwa hatua hii japo bado tuko kwenye mwanzo mkewake ameanza kukiri na kushuhudia wema wa Mungu APOSTLE aliendelea kusema kuwa, SABABUINAYO TUFANYA TUAMINI KWAMBA,HUDUMA HII INAKWENDA KUWA YA KITAIFA NA KIMATAIFA-Nikwasababu-Hatua tuliyo nayo leo,siyo ile tuliyo kuwa nayo mwaka jana sura ya madhabahu Leo hii tuna ukumbi wet...

NGUVU 4 ZINAZO MHAMASISHA MWENYE HEKIMA KUENDELEA KUJITOA KWENYE KUSUDI AU KWENYE MAPENZI YA MUNGU-sehemu ya pili

Image
Apostle Alam J.Kayengela kiongozi mkuu mwanzirishi wa Huduma ya Neno la Ufunuo Tanzania-akiendeleza somo la wiki iliyo pita,katika sherehe za kiibada za kustarehe pamoja na Mungu kuanzia asubuhi mpaka jioni-katika kanisa hilo lililopo  eneo la Chanika manispaa ya Ilala kitongoji cha mtaa wa Kaanani Lukooni jilani na shule ya msingi lukooni-kanisa likiwa nashangwe za kipekee alianza kwa kuelezea mambo makuu 3 ambayo siyo vibaya yakijulikana kwa kanisa na dunia yote ALISEMA 1.HUDUMA YA NENO LAUFUNUO INAKWENDA KUWA KUBWA -Alitoa sababu 3 kwa nini Huduma hii inakwenda kuwa kubwa kiasi cha kuufikia ulimwengu a.Kwasababu inamisingi ya Agano lililo bora b.Inanguzo 9 imara za kiroho c.Inanguvu dhidi ya wachawi-katika hili kiongozi huyo alisema,mtuyeyote akisha jiunganisha kwadhati kwenye Huduma hii hata wachawi wanatambua kwamba hawamwezu TENA 2.KUWA SEHEMU YA KANISA LINALO ENDA KUWA KUBWA,NIKUPATA URITHI MWEMA -Alisema kuwa huu urithi unakufanya a.Ufurahie uzee wako-ali...