Leoleoplus,com

Popular posts from this blog
MFULULIZO WA MAFUNDISHO YA APOSTLE ALAM J. KAYENGELA KWENYE KONGAMANO LA SIKU NANE ARUSHA TANZANIA (TAREHE 5-12 MWAKA 2013)
By
Unknown
SIKU YA 4: · MIUNGU YA YEZEBELI NA KIZAZI HIKI. - Yezebeli alizaliwa katika familia ya waabudu miungu, wasiomuabudu BWANA MUNGU ALIYEHAI. Baba yake aliitwa Ethbaal ambaye alikuwa Mfalme wa Sidoni. Yezebeli alikuwa na muunga niko wa kishetani tokea akiwa kwa baba yake. Ethbaal babayake Yezebeli kama jina lake lilivyo, alikuwa moja kwa moja amejiunganisha na milango ya kuzimu – hata jina lake akaliunganisha na miungu aliyoiabudu na kuitumikia. Alikuwa mchawi na mshirikina wa viwango. Baada ya miaka 38 ya utawala wa Mfalme Asa, katka Israel – Ahabu alichukua kiti cha ufalme. Ahabu alitafuta mke na kumuoa Yezebeli binti wa Ethbaal aliyekuwamchawi namwenye ibada bandia za kishetani – Ifalme 16:29 – 31. - Yezebeli katika kiwango...
SEHEMU YA PILI
By
Unknown
KURUDISHWA NYUMA Ukisoma vizuri Mathayo 16;23-unaona kitu muhimu sana cha kujua. Bwana Yesu ana mwambia mwana funzi wake wakaribu- Rudi nyuma yangu shetani,maana u kikwazo kwangu,maana huyawazi yaliyo ya Mungu bali ya wanadamu -Angalia vizuri hapo,hakumwambia- unawaza yashetani -bali- yawanadamu. Hii inamaanisha kwamba, mawazo ya kibinadamu bila Mungu ,nishetani. hatakama hutaipenda taalifa hiyo. Bwana Yesu alipo mwambia Petro Rudi nyuma yangu shetani- hakuwa anamwambia petro,bali shetani-lakini shetni hakurudi nyuma pekeyake-alirudi na Petro. Malanyingi msomaji wangu kinacho kurudisha nyuma kimaisha,kiuchumi,na kiutumishi-siyo wachawi au mapepo au watu,hapana,hayo yanachangia kwa sehemu ndogo sana.Ila niwakati ule unapo beba tabia furani yakishetani ukiwa umeifunika kwa ubinadamu wako- Hiyo nayo ni dalili ya fikra kushambuliwa. POINTI ZIFUATAZO ZITA KUSAIDIA 1.Unapo kuwa kikwazo kwa namna yoyote ile-kilasiku au kilamwaka BWANA YESU ATAKUWA ANA KWAMBIA-RUDI NYUMA YANGU-Haijalis...
Comments
Post a Comment