Leoleoplus,com

Huduma

Mwalimu na Mtume  Alam J. Kayengela ni mkurugenzi mkuu  na mwanzilishi wa huduma  hii.


Mwl. na Mtume Alam J. Kayengela


Amezaliwa Kigoma wilaya ya Kasulu katika Kitongoji cha  Mwilavya.
Mpaka kufikia mwaka  2012 yeye na mkewe Dorkas  wamebarikiwa  baraka za kuwa na watoto watatu; 
1.         Atukuzwe,  
2.       Utukufu na
3.        Utakaso.
Watoto wote watatu ni wakiume na wamebarikiwa kuwa na afya njema.

  •  Mtumishi huyu  anapokea mialiko ya kuhudumu bila ubaguzi wowote wa kidini, au  kidhehebu katika makongamano na  mikutano mbali mbali pamoja na semina ndni na nje ya nchi.
  •  Ni mwalimu aliyepewa neema ya neno la ufunnuo  kwa ajili ya kulisaidia  kanisa la kizazi hiki ulimwenguni
  • Mungu amempaka mafuta  yakusaidia  watumishi wa Mungu  kwa namna mbalimbali kiroho katika kizazi hiki.
  • Mtumishi huyu ni mmoja ya  watumishi waliopata neema ya pekee ya uandishi wa vitabu vyenye mguso  dhahiri  wa kiroho. Ni mmoja ya  watumishi wanaoandika vitabu  kwa kuambiwa na kuongozwa Muungu moja kwa moja. Mpaka sasa ameandika vitabu vifuatavyo;
 1. KUPIGA VITA VIZURI VYA IMANI DHIDI YA JESHI OVU LA HILA ZA SHETANI

2 . MAOMBI YAKUSAMBARATISHA MAJESHI YA ROHO ZA KICHAWI.

3 . CHUKUA NAFASI  YA KUJITAMBUA WEWE NI NANI NDANI YA KRISTO.

4 . HAYA NI MAOMBI YALIYOTHIBITISHWA
   (MWILI WAKO NI MNYORORO MKUU UNAOKUFUNGA USIWEZEKUTEMBEA NA MUNGU KATIKA  WINGU LA UPAKO WA MAOMBI MWAKA HUU)
5 . KUITAMBUA SAUTI TYA MUNGU.

6 . ZITAMBUE BAADHI YA ROHO 76 ZINAZOTESA KIZAZI HIKI.


7 . BAADHI YA NJIA 30 AMBAZO MUNGU ANAZITUMIA KUSEMA NA WATU.


8 . CHUKUA TAHADHARI JUU YA MNYAMA KATILI ACHINJAE NA KUANGAMIZA (KIBURI).
 

    Comments

    Popular posts from this blog

    NENO LAUFUNUO LA LEO tazama Ayubu 8:7"Tena ujapokuwa huo mwanzo wako ulikuwa mdogo,lakini mwisho wako ungeongezeka sana"NENO LA UFUNUO LASIKU YAKO LEO. MUNGU ANAKUTAKA USIWE NAMAWAZO YA KUDHARAU MWANZO WAKOMDOGO. KWAMAANA TABIA YA MUNGU NIKWAMBA,YEYE HUWA HAUDHARAUMWANZO MDOGO. HATAKAMA NIMWANZO MDOGO YEYE HATAUDHARAU. "Mungu alianza na mwanadamu mmoja,leo hii wako mabilioni. Yesu alianza na wanafunzi kumi nawawili,leohii anawafuasi wengi hata hawana idadi maanawengine walishatangulia mbinguni. Historia yamakanisa mengi Africa na ulimwengu kwaujumla,yalianza namwazo mdogo sana lakini yamekuwa makubwa nayakushangaza."KILA MWANADAMU CHINI YAJUA ANAPITIA UZOEFU HUU WA KIPINDI CHAMWANZOMDOGO.LEO INABIDI UJIULIZE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WAJAMBO GANI? JE UKO KWENYE MWANZOMDOGO WA KUANZISHA KAZI YAMUNGU? JE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WANDOA? UKO KWENYEMWANZO WABIASHARA? UKO KWENYE MWANZO WA OFISI MPYA? UKO KWENYE MWANZO WAUCHUMBA? UKO KWENYE MWANZO WA AJIRA? UKO KWENYE MWANZO GANI? TAZAMA zekaria 4:10"maana ninani aliyeidharau siku yamambo madogo?.....OK. UNAONYWA! USIDHARAU MWANZO MDOGO ULIO NAO LEO. USIVUNJWE MOYO NAMWANZO MDOGO. USIKATISHWETAMAA NAMWANZO MDOGO.USIJIWAZIE VIBAYA KWASABABU YA MWANZO WAKO MDOGO. LEO,PIGA MOYO WAKO KONDE UCHANGAMKE MWISHO WAKO NIMZURI. MWISHO WAKO NIMKUBWA. POKEA NENO HILI LAUFUNUO ALILO KUTUMIA MUNGU SIKU YALEO.JITAHIDI UJE KANISANI UPATE MAELEKEZO ZAIDI. HUDUMA YA NENO LAUFUNUO CHINI YA MWANGALIZI MKUU MWL NA MTUME ARAM J.KAYENGELA IMEFANYIKA BARAKA SANA YAKIROHO NAKIMWILI KWAWOTE WALIO FANIKIWA KUJIUNGA RASMI. NIHUDUMA YAKIROHO YENYE UHUISHO MPYA KATIKA SIKU HIZI ZA HATALI AMBAZO KANISA LIMESAHAU UPENDO WAKWANZA.KANISA LIMEPOA.WATU WAKO MOTO KISIASA ILA KIROHO WAMEPOA KABISA.NINYAKATI ZA YEYE ALIYE NASIKIO AYASIKIE HAYA AMBAYO ROHO ANAYAMBIA MAKANISA.HERI MWENYE SIKIO LAKUSIKIA SASA. NIMUDA WAKO WAKUJA KWENYE NENO LAUFUNUO IKIWA ULIMUULIZA MUNGU AKUONYESHE NIWAPI UENDE. SIMAMA KWAMIGUU YAKO NAUCHUKUE HATUA. 0763359745/0712583194

    MFULULIZO WA MAFUNDISHO YA APOSTLE ALAM J. KAYENGELA KWENYE KONGAMANO LA SIKU NANE ARUSHA TANZANIA (TAREHE 5-12 MWAKA 2013)

    SEHEMU YA PILI