Posts

Showing posts from August, 2013

Leoleoplus,com

KITABU KITABU KITABU CHA AJABU CHATOKA

Image
Kitabu kilicho sadikiwa kuwa kitabu cha ajabu kimetoka na kutangazwa rasmi na Apostle Alam J. Kayengela jana ijumapili kwenye sherehe za ibada za kustarehe pamoja na Mungu siku ya saba ya ijumapili iliyo barikiwa na Mungu.   Niki tabu cha aina yake chenye kurasa zaidi ya 200 kama unavyo kiona hapa kitabu hiki kimekusudiwa kuwafikia wote wenye njaa na kiu ya haki-ambao Bwana Yesu alisema,wanaheri. SIRI YA KUSOMA VITABU VILIVYO ANDIKWA NA ROHO MTAKATIFU -Apostle Kayengela alianza kwa kuelezea kwa ufupi kuhusu kusoma vitabu AKASEMA -Kwamjibu wa Isaya 11;2 Usomaji wa vitabu vyenye uvuvio wa Roho mtakatifu unaruhusu Roho ya maalifa na ufahamu kuja kwako. Ikumbukwe kwamba,watu wa Mungu wana angamizwa kwa kukosa kuwa na maalifa-Hosea 4;6 APOSTLE ALIENDELEA KWA KUSEMA- Unapo soma katika Danieli 9;2 unagundua kwamba, Danieli kwa kuvisma vitabu alipata ufahamu-yaani alipata kujua kitu furani Danieli 1;17 Danieli alipevuka sana kwenye mambo ya ulimwengu wa roho mpaka kujua ...

SABABU YAWEWE KUTOKUWA NA HOFU

Image
Mwalimu na Mtume Aam J.Kayengela ambaye ndiye kiongozi mkuu mwanzirishi wa Huduma ya Nenola Ufunuo yenye makao makuu Dar es salaam Tanzania-katika manispaa ya Ilala Chanika,juzi ijumapili alikuwa akifundisha Neno la Ufunuo linalo sema-SABABU YA WEWE KUTOKUWA NAHOFU lakini kabla ya ujumbe huu,alianza kwa utangulizi wa kuhusu SHEREHE ZA KUSTAREHE PAMOJA NAMUNGU KATIKA SIKU YA SABA YAIJUMAPILI ILIYO BEBA BARAKA HALISI ZA KIROHO-MWZ 2;1-3 ALIAINISHA FAIDA ZA SHEREHE ZAKIIBADA ZA KUSHINDA HEMANI MWABWANA 1.Uwezekano wa kushawishiwa na dhambi una kuwa mgumu sana-unapo itumia vizuri ijumapili kwa kushinda hemani kuanzia as.mpaka jioni-2Yoh 1;9 2.Nifungu jema la KiMungu ambalo huta ondolewa kabisa milele-Luk 10;38-42 -Yaangalie sana mambo hayo mawili,kwa mwenye hekima,tayali amesha gundua kuwa niyamuhimu sana kwake. Apostle wakati akiendelea kuhubiri kuelekea kwenye ujumbe wa siku hiyo,alinukuu kitabu cha Ufunuo 2;7 kinacho someka- Yeye aliye na sikio na asikie Neno hili ambalo R...

IJUMAPILI-IBABA ZA SHEREHE YA KUSTAREH PAMOJA NA MUNGU SIKU YA 7

Image
                                                                                                                                                                       ...

ILI UENDELEE KUWA RAFIKI WA MUNGU,KUWA NAKIBALI CHA KIUNGU,HEKIMA YA KIMUNGU,PAMOJA NA AFYA NJEMA-Jiepushe nawatu wa aina hii

Image
Kiongozi mkuu Mwalimu na Mtume A.J.Kayengela,mwanzirishi wa Huduma ya Neno la Ufunuo,katika ibada ya ijumapili jana-ali toa lai,kwa kanisa la Mungu duniani kwamsisitizo alipo kuwa akihubiri katika kanisa hilo,lililopo Dar es salaam Tanzania Ilala Chanika-alisema kwamba; Ili uendelee kuwa rafiki wa Mungu,kuwa na kibali cha kiungu,hekima yakiungu na afya njeme ina bidi ulazimike kujiepusha nawatu wa aina ifuatayo; AKASEMA; 1.Wenye mfano wa utaua-Akanukuu-2Timot 3;5 2.Wale waendao bila utaratibu, Mtumishi huyo kiongozi ali nukuu 2Thesalonike 3;6 3.Wenye kigeu geu-akaonya kwamba,nivema kuisoma mistali hii ili kujilidhisha-Mith 24;21 4.Wasio haki-zaburi 1;1,baada ya kunukuu mistali hiyo,kiongozi huyo mwenye neema ya kiufunuo katika Neno aliongeza kwa kusema kwamba,nivema kanisa litafakali pia habali ya mfalme Yehoshafati aliye fanya urafiki na Ahabu mfalme wa Israel aliye kuwa mtu asiye haki,baadae alijikuta akiteseka bila sababu 5.Wafanyao fitina na mambo ya kukwaza-Rumi 16...