Leoleoplus,com

SABABU YAWEWE KUTOKUWA NA HOFU



Mwalimu na Mtume Aam J.Kayengela ambaye ndiye kiongozi mkuu mwanzirishi wa Huduma ya Nenola Ufunuo yenye makao makuu Dar es salaam Tanzania-katika manispaa ya Ilala Chanika,juzi ijumapili alikuwa akifundisha Neno la Ufunuo linalo sema-SABABU YA WEWE KUTOKUWA NAHOFU lakini kabla ya ujumbe huu,alianza kwa utangulizi wa kuhusu
SHEREHE ZA KUSTAREHE PAMOJA NAMUNGU KATIKA SIKU YA SABA YAIJUMAPILI ILIYO BEBA BARAKA HALISI ZA KIROHO-MWZ 2;1-3

ALIAINISHA FAIDA ZA SHEREHE ZAKIIBADA ZA KUSHINDA HEMANI MWABWANA

1.Uwezekano wa kushawishiwa na dhambi una kuwa mgumu sana-unapo itumia vizuri ijumapili kwa kushinda hemani kuanzia as.mpaka jioni-2Yoh 1;9

2.Nifungu jema la KiMungu ambalo huta ondolewa kabisa milele-Luk 10;38-42
-Yaangalie sana mambo hayo mawili,kwa mwenye hekima,tayali amesha gundua kuwa niyamuhimu sana kwake.

Apostle wakati akiendelea kuhubiri kuelekea kwenye ujumbe wa siku hiyo,alinukuu kitabu cha Ufunuo 2;7 kinacho someka-Yeye aliye na sikio na asikie Neno hili ambalo Roho ayambia makanisa.

AKASEMA

Popote yalipo makanisa ya Mungu,watetege sikio wasikie kile Roho anacho sema.Roho anaongea kile Neno linasema. Kumbuka maneno ni Roho-Yoh 6;63.Wakati unapo sikiliza Neno-unauhakika unamsikiliza Roho akiongea.kwamaana maneno ya Mungu ya kiufunuo ni Roho Mwenyewe Akiongea

ONYO

Ebr 3;7-8-LEO KAMA UTAISIKIA SAUTI YAKE USIFANYE MOYO WAKO KUWA MGUMU
-Maana yake anakuandaa,kwani leo anaweza kukusemesha,anaweza kuongea na wewe,HATA HIVYO ANAONGEA NA WEWE SAA HII.

LAKINI,NIJUU YA NINI ANA ONGEA?
NIJUU YA SABABU YA WEWE KUTOKUWA NA HOFU-AMINA

KWANZA KABISA,ELEWA VYANZO VYA HOFU AU VITU VINAVYO CHOCHEA HOFU

1.Kile unacho kisikia kwa masikio yako kikija kinyume na ujasiri wako-hili hutambulika kama,shambulio dhidi ya ujasiri wako-niujasiri wako unao shambuliwa

2.Kile unacho kiona-unakumbuka Petro alipo uona upepo akaogopa nakuzama

3.Tafsiri mbaya-hii huja akilini nakushambulia kila kitu kinacho jaribu kukupa matumaini au Imani

4.Ujinga-kuto kulielewa vizuri Neno la ufufunuo ni chanzo kikubwa cha hofu zako ZOTE

5.Maumivu ya moyo au ya mwili-saa ya maumivu hofu ingependa ijieneze kwako,mpaka kwenye mishipa yako ya fahamu

6.Marafiki wataaibisha Imani-unakumbuka habari za Ayubu na marafikize

7.Ukame wa chakula halisi cha kiroho(NenolaUfunuo)-unakumbuka Eliya alipo kosa kwa muda mlefu Neno,alimkimbia yezebeli-muabudu miungu isiyo nanguvu dhidi ya Mungu wa Ibrahimi,Isaka,na Yakobo?
-Ukihitaji ufafanuzi zaidi juu ya vyanzo 7 vya hofu- nipigie

                          0763359745 au 0712583194

SABABU YAWEWE KUTOKUWA NA HOFU 

Nikwamba-Hupaswi kuogopa kile kilcho amliwa na Mungu kikuogope WEWE

Mwanzo 9;1-2-kila mnyama wa katika nchi atawaogopa NINYI na KUWAHOFU na kila ndege wa angani pamoja na VITU VYOTE KATIKA ARDHI......

Roho ANASEMA-Hupaswi kuwa nahofu wala wasi wasi yoyote,kwa maana vitu vyote vimeamriwa toka asili-VIKUOGOPE WEWE.
Lazima uamini kwamba,KILA KITU CHENYE JINA,KITEMBEACHO JUU YA ARDHI,NA JUU YA ANGA-KUNA NGUVU YA ASILI,INAYO KILAZIMISHA KUKUOGOPA NA KUKU HOFU WEWE.
Nikituko-Kuogopa kinacho kuogopa
-KUANZIA LEO,UNALUHUSIWA KTEMBEA KIFUA MBELE KAMA UTAKUWA UMESIKIA KILE ROHO ANASEMA NA KANISA-hautafanya moyo kuwa mgumu kiasi cha kuto kuupokea ufunuo huu rohoni mwako.

                 APOSTLE- ALAM J.KAYENGELA ANAENDELEA NA IBADA PIA ZA MAOMBEZI

              TUMA MAHITAJI YAKO YA KUOMBEA KWAKUTUMIA mlkayengela@gmail.com
           -kwa maelekezo yafuatayo;

             1.Jina kamili nanchi uliyopo

             2.Tumia lugha ya kiswahili

             3.Ambatanisha picha yako kwenye hitaji lako

Kwa wakazi wa Tanzania-Njoo Dar es Salaam panda magari ya kwenda G,lamboto-ukishuka Gongolamboto mwisho una panda magari ya kwenda Chanika-unashuka Chanika mwisho-kisha unapiga simu-0758225443 au 0712583194 na 0763359745-ili uonyeshwe kanisa lilipo

UNAHERI KAMA UTAITUMIA VEMA NAFASI HII,ILI KUJITAFUTIA MAALIFA SAHIHI YA KIROHO

                                AMINA

Comments

Popular posts from this blog

NENO LAUFUNUO LA LEO tazama Ayubu 8:7"Tena ujapokuwa huo mwanzo wako ulikuwa mdogo,lakini mwisho wako ungeongezeka sana"NENO LA UFUNUO LASIKU YAKO LEO. MUNGU ANAKUTAKA USIWE NAMAWAZO YA KUDHARAU MWANZO WAKOMDOGO. KWAMAANA TABIA YA MUNGU NIKWAMBA,YEYE HUWA HAUDHARAUMWANZO MDOGO. HATAKAMA NIMWANZO MDOGO YEYE HATAUDHARAU. "Mungu alianza na mwanadamu mmoja,leo hii wako mabilioni. Yesu alianza na wanafunzi kumi nawawili,leohii anawafuasi wengi hata hawana idadi maanawengine walishatangulia mbinguni. Historia yamakanisa mengi Africa na ulimwengu kwaujumla,yalianza namwazo mdogo sana lakini yamekuwa makubwa nayakushangaza."KILA MWANADAMU CHINI YAJUA ANAPITIA UZOEFU HUU WA KIPINDI CHAMWANZOMDOGO.LEO INABIDI UJIULIZE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WAJAMBO GANI? JE UKO KWENYE MWANZOMDOGO WA KUANZISHA KAZI YAMUNGU? JE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WANDOA? UKO KWENYEMWANZO WABIASHARA? UKO KWENYE MWANZO WA OFISI MPYA? UKO KWENYE MWANZO WAUCHUMBA? UKO KWENYE MWANZO WA AJIRA? UKO KWENYE MWANZO GANI? TAZAMA zekaria 4:10"maana ninani aliyeidharau siku yamambo madogo?.....OK. UNAONYWA! USIDHARAU MWANZO MDOGO ULIO NAO LEO. USIVUNJWE MOYO NAMWANZO MDOGO. USIKATISHWETAMAA NAMWANZO MDOGO.USIJIWAZIE VIBAYA KWASABABU YA MWANZO WAKO MDOGO. LEO,PIGA MOYO WAKO KONDE UCHANGAMKE MWISHO WAKO NIMZURI. MWISHO WAKO NIMKUBWA. POKEA NENO HILI LAUFUNUO ALILO KUTUMIA MUNGU SIKU YALEO.JITAHIDI UJE KANISANI UPATE MAELEKEZO ZAIDI. HUDUMA YA NENO LAUFUNUO CHINI YA MWANGALIZI MKUU MWL NA MTUME ARAM J.KAYENGELA IMEFANYIKA BARAKA SANA YAKIROHO NAKIMWILI KWAWOTE WALIO FANIKIWA KUJIUNGA RASMI. NIHUDUMA YAKIROHO YENYE UHUISHO MPYA KATIKA SIKU HIZI ZA HATALI AMBAZO KANISA LIMESAHAU UPENDO WAKWANZA.KANISA LIMEPOA.WATU WAKO MOTO KISIASA ILA KIROHO WAMEPOA KABISA.NINYAKATI ZA YEYE ALIYE NASIKIO AYASIKIE HAYA AMBAYO ROHO ANAYAMBIA MAKANISA.HERI MWENYE SIKIO LAKUSIKIA SASA. NIMUDA WAKO WAKUJA KWENYE NENO LAUFUNUO IKIWA ULIMUULIZA MUNGU AKUONYESHE NIWAPI UENDE. SIMAMA KWAMIGUU YAKO NAUCHUKUE HATUA. 0763359745/0712583194

MFULULIZO WA MAFUNDISHO YA APOSTLE ALAM J. KAYENGELA KWENYE KONGAMANO LA SIKU NANE ARUSHA TANZANIA (TAREHE 5-12 MWAKA 2013)

SEHEMU YA PILI