Leoleoplus,com

KITABU KITABU KITABU CHA AJABU CHATOKA


Kitabu kilicho sadikiwa kuwa kitabu cha ajabu kimetoka na kutangazwa rasmi na Apostle Alam J. Kayengela jana ijumapili kwenye sherehe za ibada za kustarehe pamoja na Mungu siku ya saba ya ijumapili iliyo barikiwa na Mungu.
 Niki tabu cha aina yake chenye kurasa zaidi ya 200 kama unavyo kiona hapa


kitabu hiki kimekusudiwa kuwafikia wote wenye njaa na kiu ya haki-ambao Bwana Yesu alisema,wanaheri.

SIRI YA KUSOMA VITABU VILIVYO ANDIKWA NA ROHO MTAKATIFU

-Apostle Kayengela alianza kwa kuelezea kwa ufupi kuhusu kusoma vitabu

AKASEMA

-Kwamjibu wa Isaya 11;2 Usomaji wa vitabu vyenye uvuvio wa Roho mtakatifu unaruhusu Roho ya maalifa na ufahamu kuja kwako. Ikumbukwe kwamba,watu wa Mungu wana angamizwa kwa kukosa kuwa na maalifa-Hosea 4;6
APOSTLE ALIENDELEA KWA KUSEMA-
Unapo soma katika Danieli 9;2 unagundua kwamba,Danieli kwa kuvisma vitabu alipata ufahamu-yaani alipata kujua kitu furani
Danieli 1;17 Danieli alipevuka sana kwenye mambo ya ulimwengu wa roho mpaka kujua tafsiri ya kila ndoto moja vilivyo sababisha hali hiyo ilikuwa usomaji wa vitabu vilivyo andikwa kwa maongozi ya Roho mtakatifu. Msomi mwenye elimu kubwa na stashahada zajuu,anaweza kuandika vitabu vingi lakini kama Roho mtakatifu hajahusika kikamilifu juu ya huo uandishi nibure kabisa.
Apostle akasena-wengi wana shangaa jinsi ambavyo Mtume Paulo alivyo kuwa na ufahamu wa kiufunuo-hawajui kama alikuwa msomaji sana wa vitabu-2Timoth 4;13

Baada ya hayo Mtume Alam  alianza ujumbe wa Neno la Ufunuo alio upa kichwa kinacho someka;

NGUVU 4 ZINAZO MUHAMASISHA MWENYE HEKIMA KUENDELEA KUJITOA KIKAMILIFU KWENYEKUSUDI AU KWENYE MAPENZI YA MUNGU


APOSTLE ALISEMA,NGUVU HIZO NI;

1.MBINGU

2.KIFO

3.UNYAKUO

4.JEHANAMU AU KUZIMU

Kwahiyo alisema,mambo hayo manne ninguvu isiyo ya kawaida inayo muhamasisha mwenye hekikima kuendelea kujitoa kwenyekusudi au kwenye mapenzi ya Mungu wake-kuendelea kujitoa kwa mwenye hekima katika kusudi la Mungu,hakuchochewi na kutaka utjiri,umalufu au majibu ya maombi yake kwa Mungu-Hapana.Yeye husukumwa na vitu hivyo 4 nilivyo viainisha hapo. Yaani Mbingu,Kifo,Unyakuo,Jehanamu au kuzimu.

APOSTLE KAYENGELA

AKASEMA;

Mbingu ina nini?

Kifo kina nini?

Unyakuo una nini

Nakuzimu au jehanamu kuna nini?

AKAENDELEA KWA KUSEMA;

Umesha waza nikwanini wenye hekima walitamani zaidi kuishi mbinguni na siyo duniani? mtumishi alipo tamka neno hilo alinukuu 2wkortho 5;8 na akatoa sababu chache nakusema;

1.Nikwasababu mbingu nimahali pazuri palipo pambwa kwa kila aina ya mapambo mazuri-Uf 21;2

Mapambo ya mji wa mbinguni

a.mji umepambwa kwa utukufu-mst 11

b.mji umepambwa kwa mwangaza wa kun"gara sana

c.mji umepambwa kwa ukuta mkubwa mrefu wenye milango mizuri pekee-mst12-15

d.mji umepambwa kwa dhabu tu,kilamahali upitapo nidhahabu tu,ikitoa mn"gao dhahabu safi mfano wa kioo safi kabisa-mst18 

e.mji umepambwa kwa mitaa ya bara bara zinazo n"gara sana kama kiyoo-mst19

APOSTLE ALIMALIZA KWA KUSEMA

Nivema usisitize MBINGU kwa muda huu mfupi ulio baki nao chini ya jua
 

Comments

Popular posts from this blog

NENO LAUFUNUO LA LEO tazama Ayubu 8:7"Tena ujapokuwa huo mwanzo wako ulikuwa mdogo,lakini mwisho wako ungeongezeka sana"NENO LA UFUNUO LASIKU YAKO LEO. MUNGU ANAKUTAKA USIWE NAMAWAZO YA KUDHARAU MWANZO WAKOMDOGO. KWAMAANA TABIA YA MUNGU NIKWAMBA,YEYE HUWA HAUDHARAUMWANZO MDOGO. HATAKAMA NIMWANZO MDOGO YEYE HATAUDHARAU. "Mungu alianza na mwanadamu mmoja,leo hii wako mabilioni. Yesu alianza na wanafunzi kumi nawawili,leohii anawafuasi wengi hata hawana idadi maanawengine walishatangulia mbinguni. Historia yamakanisa mengi Africa na ulimwengu kwaujumla,yalianza namwazo mdogo sana lakini yamekuwa makubwa nayakushangaza."KILA MWANADAMU CHINI YAJUA ANAPITIA UZOEFU HUU WA KIPINDI CHAMWANZOMDOGO.LEO INABIDI UJIULIZE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WAJAMBO GANI? JE UKO KWENYE MWANZOMDOGO WA KUANZISHA KAZI YAMUNGU? JE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WANDOA? UKO KWENYEMWANZO WABIASHARA? UKO KWENYE MWANZO WA OFISI MPYA? UKO KWENYE MWANZO WAUCHUMBA? UKO KWENYE MWANZO WA AJIRA? UKO KWENYE MWANZO GANI? TAZAMA zekaria 4:10"maana ninani aliyeidharau siku yamambo madogo?.....OK. UNAONYWA! USIDHARAU MWANZO MDOGO ULIO NAO LEO. USIVUNJWE MOYO NAMWANZO MDOGO. USIKATISHWETAMAA NAMWANZO MDOGO.USIJIWAZIE VIBAYA KWASABABU YA MWANZO WAKO MDOGO. LEO,PIGA MOYO WAKO KONDE UCHANGAMKE MWISHO WAKO NIMZURI. MWISHO WAKO NIMKUBWA. POKEA NENO HILI LAUFUNUO ALILO KUTUMIA MUNGU SIKU YALEO.JITAHIDI UJE KANISANI UPATE MAELEKEZO ZAIDI. HUDUMA YA NENO LAUFUNUO CHINI YA MWANGALIZI MKUU MWL NA MTUME ARAM J.KAYENGELA IMEFANYIKA BARAKA SANA YAKIROHO NAKIMWILI KWAWOTE WALIO FANIKIWA KUJIUNGA RASMI. NIHUDUMA YAKIROHO YENYE UHUISHO MPYA KATIKA SIKU HIZI ZA HATALI AMBAZO KANISA LIMESAHAU UPENDO WAKWANZA.KANISA LIMEPOA.WATU WAKO MOTO KISIASA ILA KIROHO WAMEPOA KABISA.NINYAKATI ZA YEYE ALIYE NASIKIO AYASIKIE HAYA AMBAYO ROHO ANAYAMBIA MAKANISA.HERI MWENYE SIKIO LAKUSIKIA SASA. NIMUDA WAKO WAKUJA KWENYE NENO LAUFUNUO IKIWA ULIMUULIZA MUNGU AKUONYESHE NIWAPI UENDE. SIMAMA KWAMIGUU YAKO NAUCHUKUE HATUA. 0763359745/0712583194

MFULULIZO WA MAFUNDISHO YA APOSTLE ALAM J. KAYENGELA KWENYE KONGAMANO LA SIKU NANE ARUSHA TANZANIA (TAREHE 5-12 MWAKA 2013)

SEHEMU YA PILI