Leoleoplus,com

ILI UENDELEE KUWA RAFIKI WA MUNGU,KUWA NAKIBALI CHA KIUNGU,HEKIMA YA KIMUNGU,PAMOJA NA AFYA NJEMA-Jiepushe nawatu wa aina hii



Kiongozi mkuu Mwalimu na Mtume A.J.Kayengela,mwanzirishi wa Huduma ya Neno la Ufunuo,katika ibada ya ijumapili jana-ali toa lai,kwa kanisa la Mungu duniani kwamsisitizo alipo kuwa akihubiri katika kanisa hilo,lililopo Dar es salaam Tanzania Ilala Chanika-alisema kwamba;
Ili uendelee kuwa rafiki wa Mungu,kuwa na kibali cha kiungu,hekima yakiungu na afya njeme ina bidi ulazimike kujiepusha nawatu wa aina ifuatayo;

AKASEMA;

1.Wenye mfano wa utaua-Akanukuu-2Timot 3;5

2.Wale waendao bila utaratibu, Mtumishi huyo kiongozi ali nukuu 2Thesalonike 3;6

3.Wenye kigeu geu-akaonya kwamba,nivema kuisoma mistali hii ili kujilidhisha-Mith 24;21

4.Wasio haki-zaburi 1;1,baada ya kunukuu mistali hiyo,kiongozi huyo mwenye neema ya kiufunuo katika Neno aliongeza kwa kusema kwamba,nivema kanisa litafakali pia habali ya mfalme Yehoshafati aliye fanya urafiki na Ahabu mfalme wa Israel aliye kuwa mtu asiye haki,baadae alijikuta akiteseka bila sababu

5.Wafanyao fitina na mambo ya kukwaza-Rumi 16;17 Mtume Kayengela alisema kuwa,watu wajinsi hiyo nihatali fanya haraka kufuta kwa vitendo ushauri wa Mungu-yaani,kujiepusha nao-Alikazia kwa kunukuu 2Yohana 1;10-11

6.Wenye mizaha-alinukuu ile zab 1;1,akasema,Hakikisha watu wa
  namna hiyo hawawi karibu yako

7.Wasio shika fundisho la madhabahuni-akasema-watu hao nihatali sana. Alinukuu 2Thes 3;14-15

8.Nawale wote wenye dalili za wazi za mambo ya fuatayo;

a.wenye kujipenda wenyewe

b.wenye kupenda fedha

c.wenye kujisifu

d.wenye kiburi

e.wenye kutukana

f.wenye wasio watii wa zazi wao

g.wasio na shukurani

h.wasio fanya suruhu

i.wasaliti

j.wakaidi n.k-Mtume A,J.Kayengela aka malizia kwa kunukuu 2Timo 3;2-5 kuthibitisha hayo aliysema.

Mwalimu na Mtume alihitimisha kwa kusisi tiza pointi 3 zifuatazo;

1.Hata kama mtu niwamuhimu kiasi gani kwako,endapo atakuwa ame athiriwa na virusi hivyo-HAKUFAI

2.Endelea kushirikiana na watu wa jinsi hiyo,ili baadae-ujute na kujeluhiwa

3.Usipo jiepusha nawatu wenye nalili ya virusi hivyo vya kiroho,uta haribiwa,hata Mungu hakusaidii-maana msaada wake amesema JIEPUSHE NAO.


 
 

Comments

Popular posts from this blog

NENO LAUFUNUO LA LEO tazama Ayubu 8:7"Tena ujapokuwa huo mwanzo wako ulikuwa mdogo,lakini mwisho wako ungeongezeka sana"NENO LA UFUNUO LASIKU YAKO LEO. MUNGU ANAKUTAKA USIWE NAMAWAZO YA KUDHARAU MWANZO WAKOMDOGO. KWAMAANA TABIA YA MUNGU NIKWAMBA,YEYE HUWA HAUDHARAUMWANZO MDOGO. HATAKAMA NIMWANZO MDOGO YEYE HATAUDHARAU. "Mungu alianza na mwanadamu mmoja,leo hii wako mabilioni. Yesu alianza na wanafunzi kumi nawawili,leohii anawafuasi wengi hata hawana idadi maanawengine walishatangulia mbinguni. Historia yamakanisa mengi Africa na ulimwengu kwaujumla,yalianza namwazo mdogo sana lakini yamekuwa makubwa nayakushangaza."KILA MWANADAMU CHINI YAJUA ANAPITIA UZOEFU HUU WA KIPINDI CHAMWANZOMDOGO.LEO INABIDI UJIULIZE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WAJAMBO GANI? JE UKO KWENYE MWANZOMDOGO WA KUANZISHA KAZI YAMUNGU? JE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WANDOA? UKO KWENYEMWANZO WABIASHARA? UKO KWENYE MWANZO WA OFISI MPYA? UKO KWENYE MWANZO WAUCHUMBA? UKO KWENYE MWANZO WA AJIRA? UKO KWENYE MWANZO GANI? TAZAMA zekaria 4:10"maana ninani aliyeidharau siku yamambo madogo?.....OK. UNAONYWA! USIDHARAU MWANZO MDOGO ULIO NAO LEO. USIVUNJWE MOYO NAMWANZO MDOGO. USIKATISHWETAMAA NAMWANZO MDOGO.USIJIWAZIE VIBAYA KWASABABU YA MWANZO WAKO MDOGO. LEO,PIGA MOYO WAKO KONDE UCHANGAMKE MWISHO WAKO NIMZURI. MWISHO WAKO NIMKUBWA. POKEA NENO HILI LAUFUNUO ALILO KUTUMIA MUNGU SIKU YALEO.JITAHIDI UJE KANISANI UPATE MAELEKEZO ZAIDI. HUDUMA YA NENO LAUFUNUO CHINI YA MWANGALIZI MKUU MWL NA MTUME ARAM J.KAYENGELA IMEFANYIKA BARAKA SANA YAKIROHO NAKIMWILI KWAWOTE WALIO FANIKIWA KUJIUNGA RASMI. NIHUDUMA YAKIROHO YENYE UHUISHO MPYA KATIKA SIKU HIZI ZA HATALI AMBAZO KANISA LIMESAHAU UPENDO WAKWANZA.KANISA LIMEPOA.WATU WAKO MOTO KISIASA ILA KIROHO WAMEPOA KABISA.NINYAKATI ZA YEYE ALIYE NASIKIO AYASIKIE HAYA AMBAYO ROHO ANAYAMBIA MAKANISA.HERI MWENYE SIKIO LAKUSIKIA SASA. NIMUDA WAKO WAKUJA KWENYE NENO LAUFUNUO IKIWA ULIMUULIZA MUNGU AKUONYESHE NIWAPI UENDE. SIMAMA KWAMIGUU YAKO NAUCHUKUE HATUA. 0763359745/0712583194

MFULULIZO WA MAFUNDISHO YA APOSTLE ALAM J. KAYENGELA KWENYE KONGAMANO LA SIKU NANE ARUSHA TANZANIA (TAREHE 5-12 MWAKA 2013)

SEHEMU YA PILI