Posts

Showing posts from July, 2013

Leoleoplus,com

NENO LA UFUNUO KUHUSU KIFO-sehemu ya 3

Image
1.UTAJUAJE KIFO CHAKO KITAKUWA CHA AIBU AU KITAKUWA KIFO KIBAYA? 2.UTAJUAJE UNAENDA KUFA KIFO CHA KISHUJAA? 3.UTATUAJE UTAFUFULIWA NA PARAPANDA SIKU YA UNYAKUO? UFAFANUZI Nivema nianza kwa kukutia moyo ili kukuondolea mashaka kuhusu ujumbe huu. Wengine husema-mtu anawezaje kujua siku yake yakufa? kuwaza hivyo nisawa na kujaribu kumpinga Mungu bila wewe kujua. Natka nikuhakikishie kwamba,kila ujumbe wakweli unao toka kwa Mungu lazima uwe namsingi katika Neno la Mungu. Msingi wa ujumbehuu wa Neno la ufunuo kuhusu kifo ni AMOSI 3;7 Mungu hata fanya neno LOLOTE bila kuwafunulia watumishi wake. Umesha tafakali vizuri Isaya 38;1-6?-hivyo ndivyo Mungu anavyo fanya-ANAKUJULISHA HATA KUHUSU KUFA KWAKO. Changamoto nikwakwamba,kama Mungu haja kuunganisha na mtumishi aliye pewa Neno laufunuo-utakuwa gizani sana,kiasi cha mambo kuku tokea bila taalifa. Angalia vizuri Malaki 1;1 Neno la UFUNUO lilimjia malaki kwa ajili ya Israel-Nilazima uwe na Malaki wako ambaye kwa yeye Mungu anakufikishi...

NENO LA UFUNUO KUHUSU KIFO-Sehemu ya 2

1.UTAJUAJE SIKUYAKO YAKUFA UTACHUKULIWA NA JINI? Kumbuka hili sikuzote ee msomaji wangu-kwamjibu wa Hesabu 23;10-nidhahiri kwamba,kuna kifo cha mwenye haki nakifo cha mwovu. Swali zuri-UTAJUAJE SIKU YAKO YA KUFA UTACHUKULIWA NA JINI? Ok-unakumbuka habari ya tajiri mwovu na Lazolo mcha Mungu?-Luk 16;19-31. Angalia vizuri mst wa 22-Lazalo alipo kufa akachukuliwa na Malaika mpaka kifuani mwa Iblahimu,na tajiri naye akafa akazikwa-unafikiri alichukuliwa na nini? jibu nirahisi sana-Jini Hii nikwa sababu kuna aina furani la majini ambayo kazi zao nikuchukua na kusafirisha roho zawatu walio fia dhambini. KWAHIYO UTAJUAJE KWAMBA,SIKU YAKO YAKUFA UTACHUKULIWA NAKUSAFIRISHWA NA JINI? A.Unapo ishi kwa kupenda anasa -Hiyo nikwa mjibu wa Luk 16;19-31-imethibishwa zaidi kwenye Ezekiel 28;10,na Isaya 47;8-9 2.UTJUAJE MUDA WOWOTE UNAWEZA KUFISHA? A.Unapo acha kwa makusudi kumuunga mkono babayako wakiroho juu yamambo furani ya Mungu mpaka yanakufa bila kufanikiwa-Esta 4;12-14 na 1samweli 1...

NENO LA UFUNUO JUU YA KIFO

1.UTAJUAJE KWAMBA KARIBU UNAKUFA? A.Unapo kataa uzima-Yoh 5;40 hii inamaanisha,Unapo amua kukataa wokovu.Unapo fanya mzaha na wokovu,au kufanyamchezo na wokovu-Mfano-Matendo 5;1-11-Anania na mkewe,walikubwa na kifo walipo kuwa kwenye mazingira ya namna hiyo-yaani kucheza na wokovu. Mfano mwingine ni habali ya mfalme Hezekia kwenye Isaya 38;1-5.-Taalifa ya kifo chake ilikuwa wazi sana kama hivyo. Katika 2Nyakati 32;25 na Isaya 39,Mfalme huyu alikuwa na tabia furani kwenye moyo wake,hata hiivyo alikuwa na hali furani ya kucheza na Neema aliyo pewa na Mungu. B.Unapo jiachilia kwenye Uchoyo,Uchungu,Hasira,Kisasi,Uradfi,Wivu-Vitu hivi husababisha maumivu ya Nafsi na kuharibu mzunguko wa uhai wako-katika Efeso 4;30-31-Roho mtakatifu ana sema Mmbohayo usiyaruhusu. Nakatika Ayubu 21;25-mtu hufa katika uchungu wa roho yake asione mema-kwa ujumla nikwamba,vitu hivyo vinaua haraka. 2.UTAJUAJE KIFO CHAKO KITAKUWA CHA KUSHITUKIZA A.Una kuwa mtu wa kupuuzia sauti ya Mungu-Mithali 29;1-kuvun...

TAABU YAKILAKITU KUWACHEMA KWA WAKATI WAKE

Muhubiri 3;10-11-Mungu amefanya kila kitu kuwa chema kwa wakati wake-Hiyo ni taabu ambayo amewapa wanadamu chini yajua. -Nitaabu kwawanadamu kwasababu karibu kila mwanadamu kabla hajapata Neno la Ufunuo vizuri,anahulka ya kutaka vitu vizuri hata kabla yawakati wake.Hawezi kujua kwamba,Mungu amefanya kila kitu kuwa kizuri kwa wakati wake. -Unapo taka utajiri kabla ya wakati wake-umejiingiza kwenye taabu ya nafsi yako -Unapo taka kuoa au kuolewa kabla ya wakati wake-mwenyewe umejiingiza kwenye taabu -Unapo taka ufunguliwe kanisa kabla ya wakati wake-ujue umesha anza kutaabika MAANA YAKE NINI MANENO HAYO? Hata kwa mifano hai unaweza kupevuka Mfano-kijiko ni kizur kwa wakati wake-je,wakati wake ni upi? niwakati wa kula -Chakula nikizuri kwa wakati gani hasa? jibu nirahisi-niwakati wa njaa -Ikuzote kumbuka Neno hili katika Isaya 28;16-Mungu anasema-Aaminie hatafanya haraka. Sasa hapa anamaa nisha kwamba,kutokutaka vitu vifanyike haraka hasa vile ambavyo hauna uwezo navyo-hiyo ni ...