NENO LA UFUNUO KUHUSU KIFO-sehemu ya 3
1.UTAJUAJE KIFO CHAKO KITAKUWA CHA AIBU AU KITAKUWA KIFO KIBAYA?
2.UTAJUAJE UNAENDA KUFA KIFO CHA KISHUJAA?
3.UTATUAJE UTAFUFULIWA NA PARAPANDA SIKU YA UNYAKUO?
UFAFANUZI
Nivema nianza kwa kukutia moyo ili kukuondolea mashaka kuhusu ujumbe huu. Wengine husema-mtu anawezaje kujua siku yake yakufa? kuwaza hivyo nisawa na kujaribu kumpinga Mungu bila wewe kujua. Natka nikuhakikishie kwamba,kila ujumbe wakweli unao toka kwa Mungu lazima uwe namsingi katika Neno la Mungu. Msingi wa ujumbehuu wa Neno la ufunuo kuhusu kifo ni AMOSI 3;7 Mungu hata fanya neno LOLOTE bila kuwafunulia watumishi wake. Umesha tafakali vizuri Isaya 38;1-6?-hivyo ndivyo Mungu anavyo fanya-ANAKUJULISHA HATA KUHUSU KUFA KWAKO.
Changamoto nikwakwamba,kama Mungu haja kuunganisha na mtumishi aliye pewa Neno laufunuo-utakuwa gizani sana,kiasi cha mambo kuku tokea bila taalifa. Angalia vizuri Malaki 1;1 Neno la UFUNUO lilimjia malaki kwa ajili ya Israel-Nilazima uwe na Malaki wako ambaye kwa yeye Mungu anakufikishia Neno lake la Ufunuo. Neno la ufunuo nizaidi tu,yamahubiri ya kawaida.Omba Mungu akuunganishe na mtumishi wa namna hiyo-utashangaa ulimwengu wako wa roho uta kuwa mpya kila siku.
1.UTAJUAJE KIFO CHAKO KITA KUWA CHA AIBU AU KITAKUWA KIFO KIBAYA?
-Kumbuka kwanza hili;
-Huwa kuna kifo kibaya na kifo kizuri-pia kuna kifo cha waovu na kifo cha wenye haki-Hes 23;10 na 2Samw 3;31-34-Abineli alikufa kifo kama cha waovu-kifo kibaya. kifo cha kuuawa
a.Unapo anza kupoteza umakini wa kutembea na kusudi-unakufa kifo kibaya cha aibu-Abineri aliitwa faraghani kwenda kuuawa
b.Unapo ishi kwa kufuata mashauri yako mwenyewe bila kuzingatia kile unacho onywa na babayako wa kiroho anaye kuonya kwa msingi waNenola Mungu-utakufa kifo cha aibu au kifo kibaya. Jifunze kwa huyu mtu wa Mungu tena alikuwa mtumishi mzuri mbele za Mungu,angalia vizuri kile kilcho mkuta-1falme 13;1-32-maiti yake ili kutwa balabalani-unadhani nikifo kizuri hicho?
c.Ukianza kuishi kwa kutegemea zaidi watu kuliko Mungu unakuwa unajiweka kwenye nafasi ya kufa kifo kibaya-Angalia habali za mfalme Asa. 2Nyakati 16;1-15 mst wa 12 Asa,akashikwa na ugonjwa-ugonjwa ukazidi Akafa. Alikufa akiwa amezidiwa. Ali uawa namaumivu makali ya ugonjwa ulio zidi-usifikiri hicho nikifo kizuri. Unakufa unagugumia kwa maumivu makali
2.UTAJUAJE UNAENDA KUFA KIFO CHA KISHUJAA?
a.Unapo kufa kifo cha taratibu huku ukiitetea injiri ya kweli
b.Unapo kufa katikati ya mateso ya injiri-soma vizuri matendo 7;1-60
UTAJUAJE UTAFUFULIWA NAPARA PANDA SIKU YA UNYA KUO?
a.Kama uli kufa katika kristo
b.Kama ulikufa katika wokovu wa kweli-1Thes 4;13-18
Mwalimu na Mtume
ALAM J.KAYENGELA
Kiongozi mkuu mwanzirishi wa Huduma ya Neno la Ufunuo
UNAKARIBISHWA KWENYE IBADA AZIFANYAZO
Jinsi ya kufika kwa urahisi
piga-0763359745 au 0712583194
2.UTAJUAJE UNAENDA KUFA KIFO CHA KISHUJAA?
3.UTATUAJE UTAFUFULIWA NA PARAPANDA SIKU YA UNYAKUO?
UFAFANUZI
Nivema nianza kwa kukutia moyo ili kukuondolea mashaka kuhusu ujumbe huu. Wengine husema-mtu anawezaje kujua siku yake yakufa? kuwaza hivyo nisawa na kujaribu kumpinga Mungu bila wewe kujua. Natka nikuhakikishie kwamba,kila ujumbe wakweli unao toka kwa Mungu lazima uwe namsingi katika Neno la Mungu. Msingi wa ujumbehuu wa Neno la ufunuo kuhusu kifo ni AMOSI 3;7 Mungu hata fanya neno LOLOTE bila kuwafunulia watumishi wake. Umesha tafakali vizuri Isaya 38;1-6?-hivyo ndivyo Mungu anavyo fanya-ANAKUJULISHA HATA KUHUSU KUFA KWAKO.
Changamoto nikwakwamba,kama Mungu haja kuunganisha na mtumishi aliye pewa Neno laufunuo-utakuwa gizani sana,kiasi cha mambo kuku tokea bila taalifa. Angalia vizuri Malaki 1;1 Neno la UFUNUO lilimjia malaki kwa ajili ya Israel-Nilazima uwe na Malaki wako ambaye kwa yeye Mungu anakufikishia Neno lake la Ufunuo. Neno la ufunuo nizaidi tu,yamahubiri ya kawaida.Omba Mungu akuunganishe na mtumishi wa namna hiyo-utashangaa ulimwengu wako wa roho uta kuwa mpya kila siku.
1.UTAJUAJE KIFO CHAKO KITA KUWA CHA AIBU AU KITAKUWA KIFO KIBAYA?
-Kumbuka kwanza hili;
-Huwa kuna kifo kibaya na kifo kizuri-pia kuna kifo cha waovu na kifo cha wenye haki-Hes 23;10 na 2Samw 3;31-34-Abineli alikufa kifo kama cha waovu-kifo kibaya. kifo cha kuuawa
a.Unapo anza kupoteza umakini wa kutembea na kusudi-unakufa kifo kibaya cha aibu-Abineri aliitwa faraghani kwenda kuuawa
b.Unapo ishi kwa kufuata mashauri yako mwenyewe bila kuzingatia kile unacho onywa na babayako wa kiroho anaye kuonya kwa msingi waNenola Mungu-utakufa kifo cha aibu au kifo kibaya. Jifunze kwa huyu mtu wa Mungu tena alikuwa mtumishi mzuri mbele za Mungu,angalia vizuri kile kilcho mkuta-1falme 13;1-32-maiti yake ili kutwa balabalani-unadhani nikifo kizuri hicho?
c.Ukianza kuishi kwa kutegemea zaidi watu kuliko Mungu unakuwa unajiweka kwenye nafasi ya kufa kifo kibaya-Angalia habali za mfalme Asa. 2Nyakati 16;1-15 mst wa 12 Asa,akashikwa na ugonjwa-ugonjwa ukazidi Akafa. Alikufa akiwa amezidiwa. Ali uawa namaumivu makali ya ugonjwa ulio zidi-usifikiri hicho nikifo kizuri. Unakufa unagugumia kwa maumivu makali
2.UTAJUAJE UNAENDA KUFA KIFO CHA KISHUJAA?
a.Unapo kufa kifo cha taratibu huku ukiitetea injiri ya kweli
b.Unapo kufa katikati ya mateso ya injiri-soma vizuri matendo 7;1-60
UTAJUAJE UTAFUFULIWA NAPARA PANDA SIKU YA UNYA KUO?
a.Kama uli kufa katika kristo
b.Kama ulikufa katika wokovu wa kweli-1Thes 4;13-18
Mwalimu na Mtume
ALAM J.KAYENGELA
Kiongozi mkuu mwanzirishi wa Huduma ya Neno la Ufunuo
UNAKARIBISHWA KWENYE IBADA AZIFANYAZO
Jinsi ya kufika kwa urahisi
piga-0763359745 au 0712583194
Comments
Post a Comment