NENO LA UFUNUO KUHUSU KIFO-Sehemu ya 2
1.UTAJUAJE SIKUYAKO YAKUFA UTACHUKULIWA NA JINI?
Kumbuka hili sikuzote ee msomaji wangu-kwamjibu wa Hesabu 23;10-nidhahiri kwamba,kuna kifo cha mwenye haki nakifo cha mwovu. Swali zuri-UTAJUAJE SIKU YAKO YA KUFA UTACHUKULIWA NA JINI?
Ok-unakumbuka habari ya tajiri mwovu na Lazolo mcha Mungu?-Luk 16;19-31. Angalia vizuri mst wa 22-Lazalo alipo kufa akachukuliwa na Malaika mpaka kifuani mwa Iblahimu,na tajiri naye akafa akazikwa-unafikiri alichukuliwa na nini? jibu nirahisi sana-Jini
Hii nikwa sababu kuna aina furani la majini ambayo kazi zao nikuchukua na kusafirisha roho zawatu walio fia dhambini.
KWAHIYO UTAJUAJE KWAMBA,SIKU YAKO YAKUFA UTACHUKULIWA NAKUSAFIRISHWA NA JINI?
A.Unapo ishi kwa kupenda anasa
-Hiyo nikwa mjibu wa Luk 16;19-31-imethibishwa zaidi kwenye Ezekiel 28;10,na Isaya 47;8-9
2.UTJUAJE MUDA WOWOTE UNAWEZA KUFISHA?
A.Unapo acha kwa makusudi kumuunga mkono babayako wakiroho juu yamambo furani ya Mungu mpaka yanakufa bila kufanikiwa-Esta 4;12-14 na 1samweli 15;33-kunajambo kwenye mistali hiyo.
B.Unapo acha kwa makusudi kutumia uwezo wako kuzuia kazi ya Mungu isife kwa kukosa kile ambacho ungeweza kufanya-Ezra 10;4 na Ruth 1;5-katika hili,wakati Mtume A.J.Kayengela alipo kuwa akifundisha jana,alitoa mfano rahisi akasema-NIHATALI SANA KANISA KUKOSA VITI VYA KUKALIA WAKATI UNAUWEZO WA KUNUNUA VITI HIVYO. AU UNAUWEZO WA KUNUNUA BATI LAKINI WATU WA MUNGU WANANYESHEWA NAMVUA AU KUPIGWA NAJUA-KISA ETI,UMESUBIRI WAKUTANGAZIE MCHANGO-kwa namna hiyo,muda wowote unaweza ukaji andaa kufisha mtu wa karibu yako
3.UTAJUAJE HUTAKUFA MAPEMA?
A.Unapo fika hatua ya kuishi kwa kusudi duniani-Matendo 13;36 na 1wafalme 1;1,na2;1-11-Daudi alifikia uzee wakikongwe kwa kuwa ali kuwa na kusudi maalumu duniani
B.Maiyako yanapo kuwa furaha ya wengi-soma kwa usikivu wafilipi 1;21-26
C.Unapo tunza mahusiano yako vizuri na baba yako wakiroho-wafilipi 2;25-27-nini unaonahapo kwenye hiyo mistari? nijambo la ajabu.Epafradito mtenda kazi wa karibu sana wa mtume Paulo,aliugua nusu kufa,akaponywa kwasababu ya uhusiano wake mzuri alio kuwa nao na mtume Paulo babayake wa kiroho.
Usipo ijua siri hii,hata kama unaupako kiasi gani mbele za Mungu unaweza ukafa kabla ya wakati. Tunza sana hilo.
UFUNUO WA UJUMBE WA SOMO HILI UNAENDELEA,USIACHE KUFUATILIA
AMINA
Kumbuka hili sikuzote ee msomaji wangu-kwamjibu wa Hesabu 23;10-nidhahiri kwamba,kuna kifo cha mwenye haki nakifo cha mwovu. Swali zuri-UTAJUAJE SIKU YAKO YA KUFA UTACHUKULIWA NA JINI?
Ok-unakumbuka habari ya tajiri mwovu na Lazolo mcha Mungu?-Luk 16;19-31. Angalia vizuri mst wa 22-Lazalo alipo kufa akachukuliwa na Malaika mpaka kifuani mwa Iblahimu,na tajiri naye akafa akazikwa-unafikiri alichukuliwa na nini? jibu nirahisi sana-Jini
Hii nikwa sababu kuna aina furani la majini ambayo kazi zao nikuchukua na kusafirisha roho zawatu walio fia dhambini.
KWAHIYO UTAJUAJE KWAMBA,SIKU YAKO YAKUFA UTACHUKULIWA NAKUSAFIRISHWA NA JINI?
A.Unapo ishi kwa kupenda anasa
-Hiyo nikwa mjibu wa Luk 16;19-31-imethibishwa zaidi kwenye Ezekiel 28;10,na Isaya 47;8-9
2.UTJUAJE MUDA WOWOTE UNAWEZA KUFISHA?
A.Unapo acha kwa makusudi kumuunga mkono babayako wakiroho juu yamambo furani ya Mungu mpaka yanakufa bila kufanikiwa-Esta 4;12-14 na 1samweli 15;33-kunajambo kwenye mistali hiyo.
B.Unapo acha kwa makusudi kutumia uwezo wako kuzuia kazi ya Mungu isife kwa kukosa kile ambacho ungeweza kufanya-Ezra 10;4 na Ruth 1;5-katika hili,wakati Mtume A.J.Kayengela alipo kuwa akifundisha jana,alitoa mfano rahisi akasema-NIHATALI SANA KANISA KUKOSA VITI VYA KUKALIA WAKATI UNAUWEZO WA KUNUNUA VITI HIVYO. AU UNAUWEZO WA KUNUNUA BATI LAKINI WATU WA MUNGU WANANYESHEWA NAMVUA AU KUPIGWA NAJUA-KISA ETI,UMESUBIRI WAKUTANGAZIE MCHANGO-kwa namna hiyo,muda wowote unaweza ukaji andaa kufisha mtu wa karibu yako
3.UTAJUAJE HUTAKUFA MAPEMA?
A.Unapo fika hatua ya kuishi kwa kusudi duniani-Matendo 13;36 na 1wafalme 1;1,na2;1-11-Daudi alifikia uzee wakikongwe kwa kuwa ali kuwa na kusudi maalumu duniani
B.Maiyako yanapo kuwa furaha ya wengi-soma kwa usikivu wafilipi 1;21-26
C.Unapo tunza mahusiano yako vizuri na baba yako wakiroho-wafilipi 2;25-27-nini unaonahapo kwenye hiyo mistari? nijambo la ajabu.Epafradito mtenda kazi wa karibu sana wa mtume Paulo,aliugua nusu kufa,akaponywa kwasababu ya uhusiano wake mzuri alio kuwa nao na mtume Paulo babayake wa kiroho.
Usipo ijua siri hii,hata kama unaupako kiasi gani mbele za Mungu unaweza ukafa kabla ya wakati. Tunza sana hilo.
UFUNUO WA UJUMBE WA SOMO HILI UNAENDELEA,USIACHE KUFUATILIA
AMINA
Comments
Post a Comment