Posts

Showing posts from March, 2013

Leoleoplus,com

MWENDELEZO WASOMOLETU

5.FAIDA YA MAUDHI -Haipaswi kusahaulika kwamba,maudhi yanafaida.Hii ni hekima kwa watu waainafurani,walio pevuka kiroho. -Maudhi yanafaida zifuatazo, 1.Nifundisho toka kwa Mungu linalo kufanya ukue katika viwango vya kusamehe bure-Isaya 48;17 2.Maudhi yanakuthibitisha kwamba,wewe nimti wenye matunda mazuli-Mathayo 3;8,10 -Usisahau kwamba,kilamti wenye matunda lazima upigwe mawe 3.Maudhi yanakutambulisha kwamba,wewe ni mtaua-2Timo 3;12 -Mtaua nimtu aliye teuliwa na Mungu,ni mtu aliye takaswa au kutengwa 4.Maudhi yanaonyesha nikwa kiasi gani Mungu anakuonyesha kwamba,unapita kwenye kielelezo cha maisha ya Bwana Yesu Kristo-Yoh 5;16,15;20-21 5.Nimaudhi ndiyo yanayo onyesha kiwawango cha ustahimilivu wako wakushinda mabaya kwa wema-1kor 4;12,Rumi 12;21. 6.Nikwa njia yamaudhi,Mungu ana kuwa ana kuonyesha kwamba,sasa ume anza kuwa mtu wa kiroho-Galatia 2;29,napia,anakuwa anakuambia kwamba,ume zana Roho mtakatifu-Yoh 3;5-6 7.Maudhi yanaonyesha kwamba,umepata kibali kwa Mung...

BAADA YAMAOMBI

4.UFANYEJEILIUYASHINDEMAUDHI 1.Usiyafikiliemalakwamala-Filip-4;8-9 2.Usiyaluhusuyakaekwamudamrefumoyonimwako-Efes 4;26 3.Chukua tahadhari,maudhi yasikufanye usahau hata jambo moja jema ulilofanyiwa nahuyo anaye kuudhi-muhub 7;9 4.Usifanye haraka kuvunja ushirika kwasababu yamaudhi,huo niutoto na niujinga-muh 10;8 -kuvunja ushirika nisawa nakubomoa boma,nyoka atakuuma. 5.Toa onyo-Rum 15;14,Ebr 3;13,10;25 -Hii inaonyesha kwamba,unapofikia kiwango cha kumuonya mwenzio cha kumuonya mwenzio ktk Bwana,unaonyesha hatua furani ya kukua kiroho. 6.Elewa haraka,kusudi lashetani kukuletea maudhi,niili,kufarakanisha,kuvunja ushirika n.k Gar 3;1-5 7.Wakati wamaombi,jifunze kukumbuka kuyapeleka hayo maudhi mbele za Bwana-1petr 5;6-7

.....NENO LA UFUNUO LA WIKI KWA KANISA ULIMWENGUNI

Image
Wiki hii ninaendelea na somo lilile la wiki iliyopita, pale tulipoishia --> 3. LAZIMA UWE NA MOYO USIO PEPERUSHWA NA MAuDhI. Mwanzo 45:5,  Mathayo 5:10, Yohana 5:16, 15:20 2Tomotheo3:12, Galatia 4;29 na 1Kor 4:12 Lazima ufikie hatua ujue kustahimilia maudhi. Kuwa na moyo usio peperushwa na maudhi, ni ilehali ya kujua kwamba maudhi yapo yanapaswa kushindwa tu na siyo yakushinde. Huwezi kuomba usikutane na maudhi, bali unaweza kuomba kuyashinda maudhi. Maudhi yasitazamwe kama kitu cha kuumiza bali kama sehemu ya kukomazwa na kukuzwa kiroho. Mfano wa moyo ulio peperushwa na maudhi --> KAMA HUJASHINDA MAUDHI; 1.      Hutaweza kuishi na watu popote pale 2.      Hutaweza kuwa mtumishi  mwenye sifa za kweli 3.      Hutaweza kufika uzeeni 4.      Hutaweza kuikwepa Jehanam 5.      Hutaweza kufanya kazi na watu kwa muda mrefu ...

NENO LA UFUNUO LA WIKI HII KWA KANISA LA ULIMWENGU.

Image
--> Baada ya maombi ya muda mrefu hii inasisitza hasa ni nini unatakiwa kuelewa baada ya kumaliza maombi ya muda mrefu. Si wengi wanao elewa vema umuhimu wa jambo hili, 1.Inapaswa kuelewa kwamba mara tu unapo maliza maombi ya muda mrefu MUNGU anakufuatilia sana kabla hajakujibu  fuatilia vizuri Mathayo  26:36- 41   Unagundua kua YESU mara tatu aliwafuatilia baada ya kuuwaambia  waombe. --> MAMBO 3 AMBAYO MUNGU ANAFUTILIA UNAPO MALIZA MAOMBI YA MUDA MREFU; 1.        Maneno yako 2.        Imani yako 3.        Utakatifu wako   --> SEHEMU 2 SHETANI ANAKUFUATILIA KWA UKARIBU UNAPO MALIZ MAOMBI YA MUDA MREFU Watu wengi  baada ya maombi wasipo pata majibu yao, watashambuliwa sana na mwovu nahii ni kwasababu ya udhaifu wao  wa kutojua  soma vizuri Mathayo  14:22 – 31, baada ya Petro kuwasilisha ombi lake kwa B...