Leoleoplus,com

.....NENO LA UFUNUO LA WIKI KWA KANISA ULIMWENGUNI

Wiki hii ninaendelea na somo lilile la wiki iliyopita, pale tulipoishia

-->
3. LAZIMA UWE NA MOYO USIO PEPERUSHWA NA MAuDhI.
Mwanzo 45:5,  Mathayo 5:10, Yohana 5:16, 15:20 2Tomotheo3:12, Galatia 4;29 na 1Kor 4:12 Lazima ufikie hatua ujue kustahimilia maudhi. Kuwa na moyo usio peperushwa na maudhi, ni ilehali ya kujua kwamba maudhi yapo yanapaswa kushindwa tu na siyo yakushinde.
Huwezi kuomba usikutane na maudhi, bali unaweza kuomba kuyashinda maudhi.
Maudhi yasitazamwe kama kitu cha kuumiza bali kama sehemu ya kukomazwa na kukuzwa kiroho.
Mfano wa moyo ulio peperushwa na maudhi
-->KAMA HUJASHINDA MAUDHI;
1.     Hutaweza kuishi na watu popote pale

2.     Hutaweza kuwa mtumishi  mwenye sifa za kweli

3.     Hutaweza kufika uzeeni

4.     Hutaweza kuikwepa Jehanam

5.     Hutaweza kufanya kazi na watu kwa muda mrefu

6.     Hutaweza kudumu kwa muda mrefu kwenye ndoa

7.     Hutaweza kuw na ushirika na Rohomtakatifu

Kwa mafundisho haya na mengine mengi wasiliana na Mtume Alam J.Kayengela.  Kwa ushauri na maombezi. 

0763 359745  na  0712 583194

 

Comments

Popular posts from this blog

NENO LAUFUNUO LA LEO tazama Ayubu 8:7"Tena ujapokuwa huo mwanzo wako ulikuwa mdogo,lakini mwisho wako ungeongezeka sana"NENO LA UFUNUO LASIKU YAKO LEO. MUNGU ANAKUTAKA USIWE NAMAWAZO YA KUDHARAU MWANZO WAKOMDOGO. KWAMAANA TABIA YA MUNGU NIKWAMBA,YEYE HUWA HAUDHARAUMWANZO MDOGO. HATAKAMA NIMWANZO MDOGO YEYE HATAUDHARAU. "Mungu alianza na mwanadamu mmoja,leo hii wako mabilioni. Yesu alianza na wanafunzi kumi nawawili,leohii anawafuasi wengi hata hawana idadi maanawengine walishatangulia mbinguni. Historia yamakanisa mengi Africa na ulimwengu kwaujumla,yalianza namwazo mdogo sana lakini yamekuwa makubwa nayakushangaza."KILA MWANADAMU CHINI YAJUA ANAPITIA UZOEFU HUU WA KIPINDI CHAMWANZOMDOGO.LEO INABIDI UJIULIZE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WAJAMBO GANI? JE UKO KWENYE MWANZOMDOGO WA KUANZISHA KAZI YAMUNGU? JE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WANDOA? UKO KWENYEMWANZO WABIASHARA? UKO KWENYE MWANZO WA OFISI MPYA? UKO KWENYE MWANZO WAUCHUMBA? UKO KWENYE MWANZO WA AJIRA? UKO KWENYE MWANZO GANI? TAZAMA zekaria 4:10"maana ninani aliyeidharau siku yamambo madogo?.....OK. UNAONYWA! USIDHARAU MWANZO MDOGO ULIO NAO LEO. USIVUNJWE MOYO NAMWANZO MDOGO. USIKATISHWETAMAA NAMWANZO MDOGO.USIJIWAZIE VIBAYA KWASABABU YA MWANZO WAKO MDOGO. LEO,PIGA MOYO WAKO KONDE UCHANGAMKE MWISHO WAKO NIMZURI. MWISHO WAKO NIMKUBWA. POKEA NENO HILI LAUFUNUO ALILO KUTUMIA MUNGU SIKU YALEO.JITAHIDI UJE KANISANI UPATE MAELEKEZO ZAIDI. HUDUMA YA NENO LAUFUNUO CHINI YA MWANGALIZI MKUU MWL NA MTUME ARAM J.KAYENGELA IMEFANYIKA BARAKA SANA YAKIROHO NAKIMWILI KWAWOTE WALIO FANIKIWA KUJIUNGA RASMI. NIHUDUMA YAKIROHO YENYE UHUISHO MPYA KATIKA SIKU HIZI ZA HATALI AMBAZO KANISA LIMESAHAU UPENDO WAKWANZA.KANISA LIMEPOA.WATU WAKO MOTO KISIASA ILA KIROHO WAMEPOA KABISA.NINYAKATI ZA YEYE ALIYE NASIKIO AYASIKIE HAYA AMBAYO ROHO ANAYAMBIA MAKANISA.HERI MWENYE SIKIO LAKUSIKIA SASA. NIMUDA WAKO WAKUJA KWENYE NENO LAUFUNUO IKIWA ULIMUULIZA MUNGU AKUONYESHE NIWAPI UENDE. SIMAMA KWAMIGUU YAKO NAUCHUKUE HATUA. 0763359745/0712583194

MFULULIZO WA MAFUNDISHO YA APOSTLE ALAM J. KAYENGELA KWENYE KONGAMANO LA SIKU NANE ARUSHA TANZANIA (TAREHE 5-12 MWAKA 2013)

SEHEMU YA PILI