MWENDELEZO WASOMOLETU
5.FAIDA YA MAUDHI
-Haipaswi kusahaulika kwamba,maudhi yanafaida.Hii ni hekima kwa watu waainafurani,walio pevuka kiroho.
-Maudhi yanafaida zifuatazo,
1.Nifundisho toka kwa Mungu linalo kufanya ukue katika viwango vya kusamehe bure-Isaya 48;17
2.Maudhi yanakuthibitisha kwamba,wewe nimti wenye matunda mazuli-Mathayo 3;8,10
-Usisahau kwamba,kilamti wenye matunda lazima upigwe mawe
3.Maudhi yanakutambulisha kwamba,wewe ni mtaua-2Timo 3;12
-Mtaua nimtu aliye teuliwa na Mungu,ni mtu aliye takaswa au kutengwa
4.Maudhi yanaonyesha nikwa kiasi gani Mungu anakuonyesha kwamba,unapita kwenye kielelezo cha maisha ya Bwana Yesu Kristo-Yoh 5;16,15;20-21
5.Nimaudhi ndiyo yanayo onyesha kiwawango cha ustahimilivu wako wakushinda mabaya kwa wema-1kor 4;12,Rumi 12;21.
6.Nikwa njia yamaudhi,Mungu ana kuwa ana kuonyesha kwamba,sasa ume anza kuwa mtu wa kiroho-Galatia 2;29,napia,anakuwa anakuambia kwamba,ume zana Roho mtakatifu-Yoh 3;5-6
7.Maudhi yanaonyesha kwamba,umepata kibali kwa Mungu-Mwz 4;1-7
8.Maudhi yana kuhakikishia kwamba,ufalme wa Mungu niwako-Math 5;10
9.Maudhi,nitangazo la ukuu wako ulioko mbele yako-Mfano, Isaka-ali udhiwa tangu akiwa mdogo-Mwz 21;9-Angalia pia Yusufu-Mwz 37;1-36, 39;1-23, 41;41........Habali za Bwana Yesu pia Math 2 Bila kumsa hau mtume Paulo
-Maudhi waliyo yapata yalikuwa yana tangaza ukuu wao ulio kuwa mbele yao.
Mungu akubariki-Endelea kufuatilia Neno la ufunuola kila wiki
-Haipaswi kusahaulika kwamba,maudhi yanafaida.Hii ni hekima kwa watu waainafurani,walio pevuka kiroho.
-Maudhi yanafaida zifuatazo,
1.Nifundisho toka kwa Mungu linalo kufanya ukue katika viwango vya kusamehe bure-Isaya 48;17
2.Maudhi yanakuthibitisha kwamba,wewe nimti wenye matunda mazuli-Mathayo 3;8,10
-Usisahau kwamba,kilamti wenye matunda lazima upigwe mawe
3.Maudhi yanakutambulisha kwamba,wewe ni mtaua-2Timo 3;12
-Mtaua nimtu aliye teuliwa na Mungu,ni mtu aliye takaswa au kutengwa
4.Maudhi yanaonyesha nikwa kiasi gani Mungu anakuonyesha kwamba,unapita kwenye kielelezo cha maisha ya Bwana Yesu Kristo-Yoh 5;16,15;20-21
5.Nimaudhi ndiyo yanayo onyesha kiwawango cha ustahimilivu wako wakushinda mabaya kwa wema-1kor 4;12,Rumi 12;21.
6.Nikwa njia yamaudhi,Mungu ana kuwa ana kuonyesha kwamba,sasa ume anza kuwa mtu wa kiroho-Galatia 2;29,napia,anakuwa anakuambia kwamba,ume zana Roho mtakatifu-Yoh 3;5-6
7.Maudhi yanaonyesha kwamba,umepata kibali kwa Mungu-Mwz 4;1-7
8.Maudhi yana kuhakikishia kwamba,ufalme wa Mungu niwako-Math 5;10
9.Maudhi,nitangazo la ukuu wako ulioko mbele yako-Mfano, Isaka-ali udhiwa tangu akiwa mdogo-Mwz 21;9-Angalia pia Yusufu-Mwz 37;1-36, 39;1-23, 41;41........Habali za Bwana Yesu pia Math 2 Bila kumsa hau mtume Paulo
-Maudhi waliyo yapata yalikuwa yana tangaza ukuu wao ulio kuwa mbele yao.
Mungu akubariki-Endelea kufuatilia Neno la ufunuola kila wiki
Comments
Post a Comment