Posts

Leoleoplus,com

SIYO LAZIMA UJIKWAE

Image
Ninapo fundisha kwamba HILO SIYO JARIBU, ninakuwa ninamaanisha kabisa toka moyoni mwangu nikitarajia kwamba fundisho hili hutalichukulia kawaida wala hutalipokea kwa uelekevu wa juu juu "Nami nadhani yakuwa MIMI NAMI NINA ROHO WA MUNGU (1Kor 7:40 b) " Yeye aliye na sikio NA ALISIKIE NENO HILI ambalo Roho ayambia makanisa(Uf 2:7) Neno la HILO SIYO JARIBU ulifuatilie vizuri na kulikumbatia maisha yako yote hatimaye utagundua kwamba, Neno hilo limetumwa maalumu kwa ajili yako peke yako na endapo unaamini juu ya MUNGU KUONGEA KUPITIA MAMBO YALIYO ANDIKWA basi utagundua kwamba, NDANI YA HILO SIYO JARIBU kuna sauti ya Mungu ikitembea juu yako MAMBO 4 YENYE NGUVU YANAYO KUSAIDIA KUSHINDA WIMBI LA KUKWAZIKA  1. KUSHINDA WIMBI LA KUKWAZIKA Endapo hujashinda wimbi la kukwazika inamaanisha utakuwa muhanga wa kuchukuliwa  kila siku na hilo wimbi, kwasababu inaonekana kila siku wimbi hilo kwa namna moja au nyingine linatumwa katikati yetu ili kutuibia furaha na changamko.

DHAMBI YA KUTOKUMPENDA JIRANI YAKO KAMA NAFASI YAKO

Image
Utasemaje kwamba unampenda Mungu wakati jirani yako humpendi? Na utasemaje unampenda jirani yako wakati humwambii kuhusu kutubu dhambi zake?  Wewe unaelekea mbinguni kwenye maisha mazuri kabisa, lakini jirani yako anaelekea jehanamu kwenye ziwa la moto na wewe huguswi na kule anako elekea jirani yako, je huko ndiko kumpenda jirani yako kama nafsi yako?  Yesu aliposema kwamba kuna furaha kubwa mbinguni kwa mwenye dhambi mmoja atubuye alikuwa anamaanisha pia kuna masikitiko makubwa mno mbinguni kwa mtakatifu mmoja akianguka dhambini. JIHADHALI SANA NA HII DHAMBI YA KUTOKUMPENDA JIRANI YAKO KAMA NAFSI YAKO nenolaufunuotz@gmail.com   +255763359745  /+255 712 58 31 94

NENO LAUFUNUO LALEO

Image
Tazama 2Thesalonike 3:6"Ndugu,twawaagiza katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo,jitengeni nafsizenu nakilandugu aendaebilautaratibu...." KUJITENGA NAMTU ASIYE ENENDA KWAUTARATIBU NIAMRI NA NIAGIZO LINALOTAKIWA KUZINGATIWA KAKA TUNAVYO ZINGATIA AMRIZINGINEW

NENO LA UFUNUO LA SIKU YALEO

Image
Tazama 1pet 5:8"Muwe na kiasi na kukesha kwamaana ibilisi kama simba huzunguka zunguka akitafutamtu ili ammeze" Shetani Huzunguka huku nakule. Ila hutamuona kwamachohayo. Haonekanikwamacho yakawaida. Yeye hucheza zaidi namawazoyako. Huchezanafikrazako. Huchezanahisiazako. Nahatamitazamo yako. Hucheza zaidi nakileunachokiruuhusu kwenyefikrazako. Mkataeshetani kwenyemawazoyako. Hutakiwikumruhusukuivurugasikuyakoyaleo.Watuwengihawawezikumkataashetani. Wanamruhusuawatumiekupitia mawazoyao namatendoyao. Weweusifanyehivyo.Gundua haraka paleshetanianapomtumiamtukujaribukuiharibu furahayakoleo. Gunduapia shetanianapojaribu kukuchezeakimawazo. MAFUNDISHO HAYA NAMENGINE ZAIDI YANAPATIKANA KWENYE HUDUMA YANENOLAUFUNUO YENYE MAKAOMAKUU DSM CHANIKA LUKOONI KALIBU NASHULE YAMSINGI. INAMATAWI ZAIDI YA 12 NDANI NA NJE YANCHI. CHINI YA APOSTLE ARAM J.KAYENGELA(KIONGOZI MKUU MWANZIRISHI) wasiriana nasi kwa 0712583194/0763359745 Ukihitaji maombezi wawezakutumajinalakonamahaliunakoishi(nchi...

NENO LA UFUNUO LA LEO

Image
Tazama mithali 2:4 Mungu anakutaka uutafute ufunuo kama unavyotafuta fedha. Jitahidi leo kulitafuta Neno la ufunuo kwajuhudi ile ile unayo itumia katika kutafuta fedha. Fedha inatafutwa nawatu wote. Sasa yapasa pia watu WOTE watafute Neno la Ufunua. swali. Hilo Neno laufunuo unalipatajd? Jibu nirahisi. Tafakali juu ya malaki 2:7 Unaona kule Neno linatakiwa lipatikane. Niwapi? Nikwamjumbe wa Bwana wa Majeshi. Huyu mjumbe mbingu zinamuheshimu sana. Kwasababu yeye nimjumbe wa Bwana wamajeshi. Huyu mumbe siyo kuhani wakawaida au mchungaji wakawaida. Hapana. Huyu niyule ambaye kakabidhiwa Neno laUfunuo. NINAKUKARIBISHA KWENYE NEEMA YAMUNGU YA HUDUMA YANENO LAUFUNUO. tunapatikana DSM  manispaa ya ilala kata ya  CHANIKA.jinsi yakufika nirahisi. Ukishafika CHANIKA MWISHO.unakuja kwenyekitongoji cha LUKOONI  mtaa wa KAANANI kanisa lipo mtaa  wa kaanani karibu nashuleyamsingi lukooni. AU unapiga simu: 0712583194 /0763359745 BARIKIWA

MKATE WA LEO KWAKANISA ULIMWENGUNI....................

Image
".Tawala roho yako"  TAWALA ROHOYAKO. HUO HASA NDOMKATEWAROHO YAKO WALEO. KATIKA MITH 25:28  UNAONA KWAMBA "Asiyeweza kutawala roho yake amefananishwa na mji ambao kutazake zimebomolewa." NISAWA NAMJI AMBAO HAUNA BOMA. NISAWA NAMJI AMBAO HAUNA ULINZI. tawala rohoyako leo.  UNAWEZAJE KUITAWALA ROHO YAKO? kwakujizuia ynayale yasiyokupa kibali kwa Mungu.Kwakujidhibiti au kuidhibiti tamaa kubwa uliyo nayo(wewe unajua maranyingi huwa unatamani nini hasa) Utaitawala roho yako kwa kuzuia HASIRA YAKO isikuvute kwenye matendo. Mungu amesema "Muwe nahasira ila msitende dhambi" kwahiyo leo uitawale roho yako kiasi chakutokuvutwa na hasira. Leo itawale foho yako ili usijikute unashabikia starehe na anasa kuliko IBADA YA MUNGU. tawala roho yako leo ili usishambuliwe na mapepo yamaradhi. Usipo itawala roho yako leo utakuwa huna ulinzi WOWOTE hivyo unawezakushambulliwa nachochote. HAYO YAMENENWA NA BI SHOP  NA MTUME ARAM J. KAYENGELA WAKATI AKITOA NENO LAUFUNUO LA LEO...

NENO LA SIKU YALEO KWAKANISA DUNIANI...

Image
Tazama Ezekieli 11:1-13"Tena Roho ikaniinua............natazama mahali pakuingilia palango walikuweko watu ishirini nawatano........Akaniambia,Mwanadamu,Hawandiowale watungao uovu,ndani yamjihuu........... "LINGANISHA NA Ezekieli 21:21 isemayo"Maana mfalme wa babeli alisimama penyenjiapanda,penye kichwa chanjia hizombili ili atumie uganga;aliitikisa mishale huko nahuko...... "MISTALI HII NIYAMUHIMU SANA KUIELEWA LEO KWAFAIDA YAKO.NIMUHIMU SANA. NINI UNATAKIWA UGUNDUE KUTOKA KWENYE NENO LA UFUNUO KATIKA MISTALI HIYO. Jambo lakwanza tazama ile ezk 11:2 hawa ndiowatuwale watungao uovu....NIHEKIMA LEO UKIGUNDUA KWAMBA ,KUNAMCHAWI YUKO MAHALI ANAJARIBU KUTUNGAMBINU YAUOVUFURANI. NA ukitazama  ezk 21:21 mfalme anasimama njiapanda kufanya uganga nakujarbu kutupa mishale. UNAGUNDUA NINIHAPO. NIKWAMBA,MISHALE MINGI YAKICHAWI NA UGANGA INAPATA NGUVU KUTOKA  KWENYEMADHABAHU ZAGIZA ZILIZO NJIAPANDA. KAMA UNAHISI UNASHAMBULIO LOLOTE LINAUMIZA MWILIWAKO. FANYA SASA MAOMB...