Leoleoplus,com

MKATE WA LEO KWAKANISA ULIMWENGUNI....................

".Tawala roho yako"  TAWALA ROHOYAKO. HUO HASA NDOMKATEWAROHO YAKO WALEO. KATIKA MITH 25:28  UNAONA KWAMBA "Asiyeweza kutawala roho yake amefananishwa na mji ambao kutazake zimebomolewa." NISAWA NAMJI AMBAO HAUNA BOMA. NISAWA NAMJI AMBAO HAUNA ULINZI. tawala rohoyako leo.  UNAWEZAJE KUITAWALA ROHO YAKO? kwakujizuia ynayale yasiyokupa kibali kwa Mungu.Kwakujidhibiti au kuidhibiti tamaa kubwa uliyo nayo(wewe unajua maranyingi huwa unatamani nini hasa) Utaitawala roho yako kwa kuzuia HASIRA YAKO isikuvute kwenye matendo. Mungu amesema "Muwe nahasira ila msitende dhambi" kwahiyo leo uitawale roho yako kiasi chakutokuvutwa na hasira. Leo itawale foho yako ili usijikute unashabikia starehe na anasa kuliko IBADA YA MUNGU. tawala roho yako leo ili usishambuliwe na mapepo yamaradhi. Usipo itawala roho yako leo utakuwa huna ulinzi WOWOTE hivyo unawezakushambulliwa nachochote. HAYO YAMENENWA NA BI SHOP  NA MTUME ARAM J. KAYENGELA WAKATI AKITOA NENO LAUFUNUO LA LEO. TUNA AMINI UMEBARIKIWA. TUNAKUKARIBISHA KWENYE IBABA YA NENO LAUFUNUO AMBAYO HUFANGIKA KILASIKU KAMA YALEO IKIONGOZWA NA MTUME MWENYEWE KAMA ANAVYO JALIWA NA ROHO MTAKATIFU. Piga 07633597/0712583194  ili uelekezwe zaidi. BARIKIWA

Comments

Popular posts from this blog

NENO LAUFUNUO LA LEO tazama Ayubu 8:7"Tena ujapokuwa huo mwanzo wako ulikuwa mdogo,lakini mwisho wako ungeongezeka sana"NENO LA UFUNUO LASIKU YAKO LEO. MUNGU ANAKUTAKA USIWE NAMAWAZO YA KUDHARAU MWANZO WAKOMDOGO. KWAMAANA TABIA YA MUNGU NIKWAMBA,YEYE HUWA HAUDHARAUMWANZO MDOGO. HATAKAMA NIMWANZO MDOGO YEYE HATAUDHARAU. "Mungu alianza na mwanadamu mmoja,leo hii wako mabilioni. Yesu alianza na wanafunzi kumi nawawili,leohii anawafuasi wengi hata hawana idadi maanawengine walishatangulia mbinguni. Historia yamakanisa mengi Africa na ulimwengu kwaujumla,yalianza namwazo mdogo sana lakini yamekuwa makubwa nayakushangaza."KILA MWANADAMU CHINI YAJUA ANAPITIA UZOEFU HUU WA KIPINDI CHAMWANZOMDOGO.LEO INABIDI UJIULIZE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WAJAMBO GANI? JE UKO KWENYE MWANZOMDOGO WA KUANZISHA KAZI YAMUNGU? JE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WANDOA? UKO KWENYEMWANZO WABIASHARA? UKO KWENYE MWANZO WA OFISI MPYA? UKO KWENYE MWANZO WAUCHUMBA? UKO KWENYE MWANZO WA AJIRA? UKO KWENYE MWANZO GANI? TAZAMA zekaria 4:10"maana ninani aliyeidharau siku yamambo madogo?.....OK. UNAONYWA! USIDHARAU MWANZO MDOGO ULIO NAO LEO. USIVUNJWE MOYO NAMWANZO MDOGO. USIKATISHWETAMAA NAMWANZO MDOGO.USIJIWAZIE VIBAYA KWASABABU YA MWANZO WAKO MDOGO. LEO,PIGA MOYO WAKO KONDE UCHANGAMKE MWISHO WAKO NIMZURI. MWISHO WAKO NIMKUBWA. POKEA NENO HILI LAUFUNUO ALILO KUTUMIA MUNGU SIKU YALEO.JITAHIDI UJE KANISANI UPATE MAELEKEZO ZAIDI. HUDUMA YA NENO LAUFUNUO CHINI YA MWANGALIZI MKUU MWL NA MTUME ARAM J.KAYENGELA IMEFANYIKA BARAKA SANA YAKIROHO NAKIMWILI KWAWOTE WALIO FANIKIWA KUJIUNGA RASMI. NIHUDUMA YAKIROHO YENYE UHUISHO MPYA KATIKA SIKU HIZI ZA HATALI AMBAZO KANISA LIMESAHAU UPENDO WAKWANZA.KANISA LIMEPOA.WATU WAKO MOTO KISIASA ILA KIROHO WAMEPOA KABISA.NINYAKATI ZA YEYE ALIYE NASIKIO AYASIKIE HAYA AMBAYO ROHO ANAYAMBIA MAKANISA.HERI MWENYE SIKIO LAKUSIKIA SASA. NIMUDA WAKO WAKUJA KWENYE NENO LAUFUNUO IKIWA ULIMUULIZA MUNGU AKUONYESHE NIWAPI UENDE. SIMAMA KWAMIGUU YAKO NAUCHUKUE HATUA. 0763359745/0712583194

MFULULIZO WA MAFUNDISHO YA APOSTLE ALAM J. KAYENGELA KWENYE KONGAMANO LA SIKU NANE ARUSHA TANZANIA (TAREHE 5-12 MWAKA 2013)

SEHEMU YA PILI