NENO LA SIKU YALEO KWAKANISA DUNIANI...
Tazama Ezekieli 11:1-13"Tena Roho ikaniinua............natazama mahali pakuingilia palango walikuweko watu ishirini nawatano........Akaniambia,Mwanadamu,Hawandiowale watungao uovu,ndani yamjihuu...........
"LINGANISHA NA Ezekieli 21:21 isemayo"Maana mfalme wa babeli alisimama penyenjiapanda,penye kichwa chanjia hizombili ili atumie uganga;aliitikisa mishale huko nahuko......
"MISTALI HII NIYAMUHIMU SANA KUIELEWA LEO KWAFAIDA YAKO.NIMUHIMU SANA. NINI UNATAKIWA UGUNDUE KUTOKA KWENYE NENO LA UFUNUO KATIKA MISTALI HIYO.
Jambo lakwanza tazama ile ezk 11:2 hawa ndiowatuwale watungao uovu....NIHEKIMA LEO UKIGUNDUA KWAMBA ,KUNAMCHAWI YUKO MAHALI ANAJARIBU KUTUNGAMBINU YAUOVUFURANI. NA ukitazama ezk 21:21 mfalme anasimama njiapanda kufanya uganga nakujarbu kutupa mishale. UNAGUNDUA NINIHAPO. NIKWAMBA,MISHALE MINGI YAKICHAWI NA UGANGA INAPATA NGUVU KUTOKA KWENYEMADHABAHU ZAGIZA ZILIZO NJIAPANDA. KAMA UNAHISI UNASHAMBULIO LOLOTE LINAUMIZA MWILIWAKO. FANYA SASA MAOMBI YAKUVUNJA MSHALE ULIOTUMWAKWAKO TOKA NJIAPANDA. NA UAMURU UPONYAJI JUU YAKO. SASAHIVI UTAPOKEA. tunakukaribisha kwenyeibadazetu kilasiku ya ijumatano ambayo tunakuwa naibada ya maombi kutoka katika nguvu ya Neno. na ijumaa tunakuwa na ibada ya kuharibu kafara namatambiko na ijumapili tunakuwa na ibada ya maombi na Neno la Ufunuo. Kwakweli tunabarikiwa sana kuliko watu wengi wanavyoweza kufikiri. Tunabarikiwa. TUNAPATIKANA DSM ENEO LA CHANIKA KITONGOJI CHA LUKOONI MTAA WA KAANANI KARIBU NASHULE YAMSINGI LUKOONI. KANISA LINA PAAMBILI NAOFISI YENYE RANGI ZA BLUU SIMU NI 0712583194/0763359745 fecebook; Aram Kayengela
"LINGANISHA NA Ezekieli 21:21 isemayo"Maana mfalme wa babeli alisimama penyenjiapanda,penye kichwa chanjia hizombili ili atumie uganga;aliitikisa mishale huko nahuko......
"MISTALI HII NIYAMUHIMU SANA KUIELEWA LEO KWAFAIDA YAKO.NIMUHIMU SANA. NINI UNATAKIWA UGUNDUE KUTOKA KWENYE NENO LA UFUNUO KATIKA MISTALI HIYO.
Jambo lakwanza tazama ile ezk 11:2 hawa ndiowatuwale watungao uovu....NIHEKIMA LEO UKIGUNDUA KWAMBA ,KUNAMCHAWI YUKO MAHALI ANAJARIBU KUTUNGAMBINU YAUOVUFURANI. NA ukitazama ezk 21:21 mfalme anasimama njiapanda kufanya uganga nakujarbu kutupa mishale. UNAGUNDUA NINIHAPO. NIKWAMBA,MISHALE MINGI YAKICHAWI NA UGANGA INAPATA NGUVU KUTOKA KWENYEMADHABAHU ZAGIZA ZILIZO NJIAPANDA. KAMA UNAHISI UNASHAMBULIO LOLOTE LINAUMIZA MWILIWAKO. FANYA SASA MAOMBI YAKUVUNJA MSHALE ULIOTUMWAKWAKO TOKA NJIAPANDA. NA UAMURU UPONYAJI JUU YAKO. SASAHIVI UTAPOKEA. tunakukaribisha kwenyeibadazetu kilasiku ya ijumatano ambayo tunakuwa naibada ya maombi kutoka katika nguvu ya Neno. na ijumaa tunakuwa na ibada ya kuharibu kafara namatambiko na ijumapili tunakuwa na ibada ya maombi na Neno la Ufunuo. Kwakweli tunabarikiwa sana kuliko watu wengi wanavyoweza kufikiri. Tunabarikiwa. TUNAPATIKANA DSM ENEO LA CHANIKA KITONGOJI CHA LUKOONI MTAA WA KAANANI KARIBU NASHULE YAMSINGI LUKOONI. KANISA LINA PAAMBILI NAOFISI YENYE RANGI ZA BLUU SIMU NI 0712583194/0763359745 fecebook; Aram Kayengela
Comments
Post a Comment