SEHEMU YA PILI
KURUDISHWA NYUMA
Ukisoma vizuri Mathayo 16;23-unaona kitu muhimu sana cha kujua. Bwana Yesu ana mwambia mwana funzi wake wakaribu-Rudi nyuma yangu shetani,maana u kikwazo kwangu,maana huyawazi yaliyo ya Mungu bali ya wanadamu-Angalia vizuri hapo,hakumwambia-unawaza yashetani-bali-yawanadamu.
Hii inamaanisha kwamba,mawazo ya kibinadamu bila Mungu ,nishetani.hatakama hutaipenda taalifa hiyo.
Bwana Yesu alipo mwambia Petro Rudi nyuma yangu shetani-hakuwa anamwambia petro,bali shetani-lakini shetni hakurudi nyuma pekeyake-alirudi na Petro. Malanyingi msomaji wangu kinacho kurudisha nyuma kimaisha,kiuchumi,na kiutumishi-siyo wachawi au mapepo au watu,hapana,hayo yanachangia kwa sehemu ndogo sana.Ila niwakati ule unapo beba tabia furani yakishetani ukiwa umeifunika kwa ubinadamu wako-Hiyo nayo ni dalili ya fikra kushambuliwa.
POINTI ZIFUATAZO ZITA KUSAIDIA
1.Unapo kuwa kikwazo kwa namna yoyote ile-kilasiku au kilamwaka BWANA YESU ATAKUWA ANA KWAMBIA-RUDI NYUMA YANGU-Haijalishi utaiskia hiyi sauti au la,ila UTAONAMATOKEO TU,maishani mwako.
2.Unapo heshimu sana mambo yako yakibinadamu tu,huku mambo ya kiroho yakiharibika,UTARUDISHWA NYUMA
3.Kila wakati unapo jikabidhi kwa shetani kwa kubebatabiazake kama,ubahili,uchoyo,ubinafsi,uchungu wakutokusamehe,ukorofi,nauzinzi n.k-UNARUDISHWA NYUMA
4.Kile unacho kiwaza wakati huu,kina husikakurudisha nyuma au kuku peleka mbele
5.MFANO-Unapo kuwa una wazia sana,kikwazo,jinsi ulivyo umizwa,jinsi unavyo cheleweshwa,namagumu yamaisha unayo yapitia,pamoja nayale maneno mabaya uliyo shutumiwa kwa uongo-kuna sauti itasema nyuma yako-RUDI NYUMA,MAANA HUYAWAZI YAMUNGU BALI YA WANADAMU
UTAJUAJE FIKRA YAKO HAIJASHAMBULIWA
-Angalia vizuri mathayo 1;18-21 Yusufu alipo kuwa katika kufikiri-Mungu akamtokea katika ndoto
-Hii inamaanisha kwamba,kama kweli fikra yako haijashambuliwa-kila mara itaruhusu Mungu akusikizishe sauti yake,angalau basi,hata kwa ndoto.Jambo hilo siyo rahisi,kama bado hujafundishwa vizuri-namna yakuteka nyara fikra zako zipate kumtii Kristo
NDUGU MSOMAJI-masomo haya nimwendelezo wa mafundisho ambayo Mtumishi wa Mungu anaya fundisha kanisani-tuna kukaribisha kushiriki raivu ibadani.Kanisa liko DSM Tanzania katika manispaa ya Ilala-Lukooni Chanika
ANAPOKEA MIALIKO YA KUHUDUMIA KONGAMANO NA SEMINA NDANI YA NCHI NA NJE YA NCHI
Ukisoma vizuri Mathayo 16;23-unaona kitu muhimu sana cha kujua. Bwana Yesu ana mwambia mwana funzi wake wakaribu-Rudi nyuma yangu shetani,maana u kikwazo kwangu,maana huyawazi yaliyo ya Mungu bali ya wanadamu-Angalia vizuri hapo,hakumwambia-unawaza yashetani-bali-yawanadamu.
Hii inamaanisha kwamba,mawazo ya kibinadamu bila Mungu ,nishetani.hatakama hutaipenda taalifa hiyo.
Bwana Yesu alipo mwambia Petro Rudi nyuma yangu shetani-hakuwa anamwambia petro,bali shetani-lakini shetni hakurudi nyuma pekeyake-alirudi na Petro. Malanyingi msomaji wangu kinacho kurudisha nyuma kimaisha,kiuchumi,na kiutumishi-siyo wachawi au mapepo au watu,hapana,hayo yanachangia kwa sehemu ndogo sana.Ila niwakati ule unapo beba tabia furani yakishetani ukiwa umeifunika kwa ubinadamu wako-Hiyo nayo ni dalili ya fikra kushambuliwa.
POINTI ZIFUATAZO ZITA KUSAIDIA
1.Unapo kuwa kikwazo kwa namna yoyote ile-kilasiku au kilamwaka BWANA YESU ATAKUWA ANA KWAMBIA-RUDI NYUMA YANGU-Haijalishi utaiskia hiyi sauti au la,ila UTAONAMATOKEO TU,maishani mwako.
2.Unapo heshimu sana mambo yako yakibinadamu tu,huku mambo ya kiroho yakiharibika,UTARUDISHWA NYUMA
3.Kila wakati unapo jikabidhi kwa shetani kwa kubebatabiazake kama,ubahili,uchoyo,ubinafsi,uchungu wakutokusamehe,ukorofi,nauzinzi n.k-UNARUDISHWA NYUMA
4.Kile unacho kiwaza wakati huu,kina husikakurudisha nyuma au kuku peleka mbele
5.MFANO-Unapo kuwa una wazia sana,kikwazo,jinsi ulivyo umizwa,jinsi unavyo cheleweshwa,namagumu yamaisha unayo yapitia,pamoja nayale maneno mabaya uliyo shutumiwa kwa uongo-kuna sauti itasema nyuma yako-RUDI NYUMA,MAANA HUYAWAZI YAMUNGU BALI YA WANADAMU
UTAJUAJE FIKRA YAKO HAIJASHAMBULIWA
-Angalia vizuri mathayo 1;18-21 Yusufu alipo kuwa katika kufikiri-Mungu akamtokea katika ndoto
-Hii inamaanisha kwamba,kama kweli fikra yako haijashambuliwa-kila mara itaruhusu Mungu akusikizishe sauti yake,angalau basi,hata kwa ndoto.Jambo hilo siyo rahisi,kama bado hujafundishwa vizuri-namna yakuteka nyara fikra zako zipate kumtii Kristo
NDUGU MSOMAJI-masomo haya nimwendelezo wa mafundisho ambayo Mtumishi wa Mungu anaya fundisha kanisani-tuna kukaribisha kushiriki raivu ibadani.Kanisa liko DSM Tanzania katika manispaa ya Ilala-Lukooni Chanika
ANAPOKEA MIALIKO YA KUHUDUMIA KONGAMANO NA SEMINA NDANI YA NCHI NA NJE YA NCHI
Comments
Post a Comment