Posts

Showing posts from November, 2013

Leoleoplus,com

NENO LA UFUNUO LA WIKI HII KWA KANISA ULIMWENGUN-Mfano wa mtu mjinga na mpumbavu atafutaye nyoka na kujilisha mawe

Image
UTANGULIZI Kiongozi mkuu mwanzirishi wa Huduma ya Neno la Ufunuo iliyoko Chanika Dar es salaam Tanzania Mwalimu na Mtume Alam J.Kayengela-jana alianza kwa kusema Nivema tuelewe kwamba mara nyingi sana Bwana YESU alifundisha kwa mifano,kila mfano ulikuwa na uhai wa uhalisia. Ukisoma katika marko 4;2-9 unaona kwamba mkutano mkubwa wa wawatu wengi walimuendea akaanza kusema nao kwa mfano wa mpanzi aliye panda mbegu,zingine zilidondokea njia panda zingine kwenye mwamba,zingine kwenye miiba nazingine kwenye udongo mzuri-baada ya kuuelezea hivyo ule mkutano wawatu weni kasha waliondoka zao bila kupata ufunuo wa maana ya ulemfano.kabla hawajasambaa kwenda makwao mst wa 9.akawaambia Aliye na sikio la kusikilia na asikie. wakaendazao majumbani wakifurahia ule mfano wa mpanzi bila Neno la ufunuo la maana ya mpanzi yule Ukisoma mst wa 10-20 unaliona kundi la watu wachache sana wakaenda kumuuliza maana ya mfano ule wa mpanzi.Hili nilile kundi la watu wachache sana duniani watafutao N...

WIKI HII-Kazana na kuilinda Enzi yako

Image
NDIYO,KAZANA NA KUILINDA ENZI YAKO Hayo yalisemwa na kiongozi mkuu mwanzirishi wa Huduma ya Neno la ufunuo Tanzania,alipo kuwa anaongea na Watumishi wa Mungu watenda kazi wa Huduma hiyo jijini Dar es salaam-Chanika. Mtume Aram J.Kayengela alianza kwa kusoma kitabu cha Yuda 1;6 akasema-Malaika walio shindwa kuilinda enzi yao,nakuacha kuyalinda vema makao yaliyo wahusu,walitupwa pamoja na shetani kwenye vifungo vya giza mpaka leo. Toba yao haitakubalika mpaka milele. Mtume Kayengela,alifafanua maana ya enzi nakusema kuwa; ENZI NI; 1.Nafasi muhimu uliyo pewa-yaweza kuwa nafasi ya cheo,n.k 2.Enzi ni heshima unayo pewa 3.Enzi ni upendeleo(kupata kitu ambacho wengine wanakitamani ila hawakipat) yaweza kuwa hata nafasi ya cheo chako au vinginevyo 4.Enzi ni Baraka-unajua baraka humfikisha mtu mahali pa enzi. 5.Mfano rahisi wa enzi nikama nafasi ya kuajiriwa. Unabosi wako juu yako 6.Enzi ni kibari cha kuingia mahali(fursa) UNAILINDAJE ENZI YAKO? Nikwakujiwekea alama zanj...

NENO LAUFUNUO LA WIKI HII-Nifanyeje ili Mungu awejibu langu la kifedha?

Image
Kiongozi mkuu wa Huduma ya Nenola Ufunuo Tanzania Mtume Alam J.Kayengela ambaye pia ni mwandishi wa vitabu zaidi ya 13 vyenye ujumbe unao gusa na kuibadirisha jamii,jana kwenye sherehe zakiibada zinazo fanyika hapo kanisani,alisema; UFANYEJE ILI MUNGU AFANYIKE JIBU LAKO LAKIFEDHA Alianza kwakusema,Mungu ana weza kukujibu bambo furani yanayo husiana nafedha lakini haina maana kwamba amefanyika jibulako la kifedha.Anaweza akakupa pesa lakini asiwe jibu lako la kipesa. Kumbuka,Mungu hafanyiki jibu lakolakifedha kwa wewwe kuwa muombaji saaana. Hapana.Hiyo yaweza kuwa moja wapo tu. Ukisoma kwa utulivu kitabu cha Ayubu 22;24-25 Anasema,atakuwa fedhakwako. Kamavile anavyo weza kuwa amani yako,furaha yako,uzima wako,ngome yako,kimbilio lako-kadhalika kunasiri za kiufunuo ambazo utakwenda kuzifahamu sasa nakuzishiriki kivitendo,ili awe fedha kwako. Loo,Hiyo nihabari njema kabisa yakiufunuo. Sheria moja Mungu ameionyesha kwenye mistali hiyo tuliyo iona. Bila kutimiza sheria hiyo,Nen...

NENO LA UFUNUO LA WIKI HII-Jinsi Neno la Ufunuo linavyo husika kuyafumbua macho yako

Image
Luka 24;31 “Yakafumbuliwa macho yao wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao”. Macho yako yanapofumbuliwa ndipo unapomtambua Yesu. Macho yanayozungumzwa hapa siyo haya ya kawaida. Macho haya ya kawaida yamenajisiwa na vitu vingi kiasi kwamba Mungu hapendi kuyaruhusu yamwone (Ndio maana Mungu hujificha sana) Mara nyingi watu waliofungwa na roho hii chafu ya kutaka kumwona Mungu kwa macho haya ya kawaida, ni wale waliotoka kwenye framilia ya Tomaso (wa kizazi kisichosadiki bila kuona). NI MACHO GANI HASA YAFUMBULIWE KWANGU ILI NIMWONE MUNGU KILA MARA? Efeso 1:18 “Macho ya mioyo yenu yatiwe nuru,………….” Ni macho ya moyo wangu. Yanapotiwa nuru na Neno la Ufunuo ndipo yanapofumbuka- Zaburi 119:130 “Kufafanusha maneno yako kwatia nuru, na kumfahamisha mjinga” Sikuzote ifahamike ya kwamba Neno la Ufunuo ni lile lililofafanuliwa kiufunuo. SABABU KUBWA INAYOSABABISHA MARA KWA MARA WEWE KUTOMWONA MUNGU Hiyo sababu utaijua leo na kufumbuliwa macho yako. Si weng...