Leoleoplus,com

WIKI HII-Kazana na kuilinda Enzi yako


NDIYO,KAZANA NA KUILINDA ENZI YAKO
Hayo yalisemwa na kiongozi mkuu mwanzirishi wa Huduma ya Neno la ufunuo Tanzania,alipo kuwa anaongea na Watumishi wa Mungu watenda kazi wa Huduma hiyo jijini Dar es salaam-Chanika. Mtume Aram J.Kayengela alianza kwa kusoma kitabu cha Yuda 1;6 akasema-Malaika walio shindwa kuilinda enzi yao,nakuacha kuyalinda vema makao yaliyo wahusu,walitupwa pamoja na shetani kwenye vifungo vya giza mpaka leo. Toba yao haitakubalika mpaka milele.

Mtume Kayengela,alifafanua maana ya enzi nakusema kuwa;

ENZI NI;

1.Nafasi muhimu uliyo pewa-yaweza kuwa nafasi ya cheo,n.k

2.Enzi ni heshima unayo pewa

3.Enzi ni upendeleo(kupata kitu ambacho wengine wanakitamani ila hawakipat) yaweza kuwa hata nafasi ya cheo chako au vinginevyo

4.Enzi ni Baraka-unajua baraka humfikisha mtu mahali pa enzi.

5.Mfano rahisi wa enzi nikama nafasi ya kuajiriwa. Unabosi wako juu yako

6.Enzi ni kibari cha kuingia mahali(fursa)


UNAILINDAJE ENZI YAKO?

Nikwakujiwekea alama zanjia,yaani kuiruhusu nakuilazimisha akili yako kutembelea yale yote uliyo pitia,kama mapito ya majaribu-kumbu kumbu la torati 8;2 na mst wa 10-14
-Mtume Kayengela alisema,Mungu aliwasisitiza wana wa Israel wajihadhari sana wasije wakasahau mapito waliyo pitia kwa msaada wake wakavuka.Hajabadirika mpaka sasa ana ongea na wewe kuku kumbusha "JIHADHARI USIJE UKASAHAU MAJARIBU NILIYO KUVUSHA"

Kayengela alisema kwamba,kuna watu hawakumbuki kwamba kuna wakati walikuwa hawana kazi,au walikuwa hawana nafasi walizo nazo leo, wengine hawakumbuki kwamba kuna wakati walikuwa hawna hata uwezo wa kujenga nyumba zao wenyewe. Umesahau kwamba kuna wakati ulikuwa hata kitanda huna.Kwakuwa hayo huwa huna muda wa kuya fikiria,ndiyomaana tunapo kwambia leo uwezeshe huduma hii kipesa unaona kama vile umeambiwa kwa muda usio sahihi.Pengine utasema,hilo siyo kanisa langu,nita mtolea Mungu kanisani kwangu.Chunguza sana fikra yako hiyo. Usije ukamfanya Mungu ajute kwa sababu amekufikisha hapo ulipo leo. Yesu alisema,kondoo wangu waisikia sauti yangu.Kondoo amesha elewa kinacho maanishwa hapa. Kondoo amesha elewa Mungu anacho ongea hapa.

MIFANO HALISI YA WALIO SHINDWA KULINDA ENZI ZAO

1.Malaika waasi walio mskiliza muasi shetani-walittupwa pamoja naye. Leo wanaitwa pepo wachafu

2.Mfalme Sauli- 1samweli 10..................

3.Lusifa-kutoka kuwa kerubi mwenye kutiwa mafuta nakuwa shetani-ezk 28 na isaya 14

4.Mtu wa Mungu nabii kijana-1Falme 13

5.Anania na mkewe-Matendo 5

6.Yuda iskali yote-kutoka kuwa mtume,kisha kuwa msaliti wa Damu isiyo na hatia-math 27

7.Akani-yoshua 6-7

8.Gehazi-kutoka kuwa mchungaji msaidizi,nakuwa mrithi wa ukoma-2Falme 5

9.Wabarikiwa wanao jiondoa kwenye asiri ya uzima wao(kusudi)

SABABU ZA KUSHINDWA KULINDA ENZI YAKO

1.Malaika waasi sababu yao ilikuwa kusikiliza mwovu aliye asi.

2.Sauli-sababu ilikuwa kukosa utii

3.Lusifa-sababu ilikuwa kiburi cha uzuri

4.Mtu wa Mungu nabii kijana-sababu ilikuwa kuto kushika au kuzingatia maelekezo muhimu

5.Anania na mkewe-sababu ilikuwa roho ya kumpunguzia hadhi Mungu,hii ndo roho ya kaini ya kumpa Mungu vitu vya hadhi ya chini lakini vyakwake vinakuwa vya hadhi

6.Yuda skali yote-sababu ilikuwa kupenda sana hela. Inaitwa roho ya urafi wa fedha

7.Akani-sababu ilikuwa wizi wa kiroho

8.Gehazi-sababu ilikuwa kukosa uaminifu wa sirini-alifikiri kiongozi wake hamuoni kwa tendo lile alilo fanya sirini.

9.Wabarikiwa-sababu nikuangalia sana mazingira ya sasa bila kuwekea mkazo mambo ya usoni

                    Barikiwa sana msomaji wangu. Nakupenda

Karibu kwenye Huduma ya Neno la Ufunuo-Chanika mtaa wa kaanani lukooni karibu na shule ya msingi

                   AMINA

Comments

Popular posts from this blog

NENO LAUFUNUO LA LEO tazama Ayubu 8:7"Tena ujapokuwa huo mwanzo wako ulikuwa mdogo,lakini mwisho wako ungeongezeka sana"NENO LA UFUNUO LASIKU YAKO LEO. MUNGU ANAKUTAKA USIWE NAMAWAZO YA KUDHARAU MWANZO WAKOMDOGO. KWAMAANA TABIA YA MUNGU NIKWAMBA,YEYE HUWA HAUDHARAUMWANZO MDOGO. HATAKAMA NIMWANZO MDOGO YEYE HATAUDHARAU. "Mungu alianza na mwanadamu mmoja,leo hii wako mabilioni. Yesu alianza na wanafunzi kumi nawawili,leohii anawafuasi wengi hata hawana idadi maanawengine walishatangulia mbinguni. Historia yamakanisa mengi Africa na ulimwengu kwaujumla,yalianza namwazo mdogo sana lakini yamekuwa makubwa nayakushangaza."KILA MWANADAMU CHINI YAJUA ANAPITIA UZOEFU HUU WA KIPINDI CHAMWANZOMDOGO.LEO INABIDI UJIULIZE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WAJAMBO GANI? JE UKO KWENYE MWANZOMDOGO WA KUANZISHA KAZI YAMUNGU? JE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WANDOA? UKO KWENYEMWANZO WABIASHARA? UKO KWENYE MWANZO WA OFISI MPYA? UKO KWENYE MWANZO WAUCHUMBA? UKO KWENYE MWANZO WA AJIRA? UKO KWENYE MWANZO GANI? TAZAMA zekaria 4:10"maana ninani aliyeidharau siku yamambo madogo?.....OK. UNAONYWA! USIDHARAU MWANZO MDOGO ULIO NAO LEO. USIVUNJWE MOYO NAMWANZO MDOGO. USIKATISHWETAMAA NAMWANZO MDOGO.USIJIWAZIE VIBAYA KWASABABU YA MWANZO WAKO MDOGO. LEO,PIGA MOYO WAKO KONDE UCHANGAMKE MWISHO WAKO NIMZURI. MWISHO WAKO NIMKUBWA. POKEA NENO HILI LAUFUNUO ALILO KUTUMIA MUNGU SIKU YALEO.JITAHIDI UJE KANISANI UPATE MAELEKEZO ZAIDI. HUDUMA YA NENO LAUFUNUO CHINI YA MWANGALIZI MKUU MWL NA MTUME ARAM J.KAYENGELA IMEFANYIKA BARAKA SANA YAKIROHO NAKIMWILI KWAWOTE WALIO FANIKIWA KUJIUNGA RASMI. NIHUDUMA YAKIROHO YENYE UHUISHO MPYA KATIKA SIKU HIZI ZA HATALI AMBAZO KANISA LIMESAHAU UPENDO WAKWANZA.KANISA LIMEPOA.WATU WAKO MOTO KISIASA ILA KIROHO WAMEPOA KABISA.NINYAKATI ZA YEYE ALIYE NASIKIO AYASIKIE HAYA AMBAYO ROHO ANAYAMBIA MAKANISA.HERI MWENYE SIKIO LAKUSIKIA SASA. NIMUDA WAKO WAKUJA KWENYE NENO LAUFUNUO IKIWA ULIMUULIZA MUNGU AKUONYESHE NIWAPI UENDE. SIMAMA KWAMIGUU YAKO NAUCHUKUE HATUA. 0763359745/0712583194

MFULULIZO WA MAFUNDISHO YA APOSTLE ALAM J. KAYENGELA KWENYE KONGAMANO LA SIKU NANE ARUSHA TANZANIA (TAREHE 5-12 MWAKA 2013)

SEHEMU YA PILI