Posts

Showing posts from June, 2013

Leoleoplus,com

NENO LAUFUNUO KWAAJILI YA KUSAMEHE

ILI UWEZE KUSAMEHE KWA URAHISI Inabidi ujifunze kuwa na tafsri ya aina furani katika mlengo wa kiufunuo MFANO; Makwazo au maudhi kiufunuo unaweza ukayatafasri kama vumbi  hivyo itakuwa inamaanisha kwamba,mtu anapo kuudhi au kuku kwaza anakuwa anakutimulia vumbi-kwasababu sikuzote kwazo linapo kufikia lengo lake nikuharibu haliyako yahewa yakiroho,ndivyo ilivyo katika hali yakawaidi,vumbi inapo tokea huharibu hali ya hewa.Vumbi ile unapo imeza itaenda kutengeneza tope ndani yako-baada yahapo,unaanza kupata shida. Ndivyo ilivyo kwamtu anae fungua moyo wake kuyameza yale maudhi au makwazo ndani ya moyo wake. Kumbuka hili kila wakati, Unapo kwazwa,ujue umetimuliwa vumbi na shetani,kwaufunuo huu,najua hautakubali kumeza vumbihiyo badala yakutamcheka shetani.                      AMINA  

KUUMUDU UCHUNGU WA KUZAA

Si,watu wengi walio funuliwa kujua kwamba,ndani yao kuna kitu kina itwa UZAZI Katika mwanzo 1;28-inaonyesha kwamba,toka tumboni mwa mama yako umeagizwa uzae. Umeagizwa kuzaa. Sasa hakumaanisha uzae watoto tu,ingekuwa hivyo isnge wafaa wazee vikongwe au vijana ambao hawaja oa. Chukua mfano wa kuku,kabla hajapata kifaranga,anakaa ndani siku 21 Mwanamke kabla hajapata mtoto analea mimba miezi 9. katka Yoh 16;20-21-Bwana Yesu anazungumzia mfano mathubuti kuhusu ghama ya kuzaa. URAHISI WA KUZAA Soma vizuri Yoh 15;4-5-kwa urahisi kabisa unaweza kuzaa unapokuwa ndani yake.Hapo inamaana ya kuw ndani ya Neno. Neno likufunike kwa kila hatua yamaishsa yako. Usifanye maamuzi yoyote ambayo Neno haliya ungi mkono,kufanya hivyo nikuwa inje yake na si,ndandani yake. -Unapo umudu uchungu wa kuzaa jambo,hakika UTAZAA-unapo zaa-nguvu,nguvu ya uwezesho itaachiliwa kwako-Yoh 15;2-ili uendelee kuzaa. Kumbuka hili; Unapo kuwa kwenye mchakat wa kusababisha kitu frani kitokee-mchakato huo ndo ujauzio...

SEHEMU YA PILI

KURUDISHWA NYUMA Ukisoma vizuri Mathayo 16;23-unaona kitu muhimu sana cha kujua. Bwana Yesu ana mwambia mwana funzi wake wakaribu- Rudi nyuma yangu shetani,maana u kikwazo kwangu,maana huyawazi yaliyo ya Mungu bali ya wanadamu -Angalia vizuri hapo,hakumwambia- unawaza yashetani -bali- yawanadamu. Hii inamaanisha kwamba, mawazo ya kibinadamu bila Mungu ,nishetani. hatakama hutaipenda taalifa hiyo. Bwana Yesu alipo mwambia Petro Rudi nyuma yangu shetani- hakuwa anamwambia petro,bali shetani-lakini shetni hakurudi nyuma pekeyake-alirudi na Petro. Malanyingi msomaji wangu kinacho kurudisha nyuma kimaisha,kiuchumi,na kiutumishi-siyo wachawi au mapepo au watu,hapana,hayo yanachangia kwa sehemu ndogo sana.Ila niwakati ule unapo beba tabia furani yakishetani ukiwa umeifunika kwa ubinadamu wako- Hiyo nayo ni dalili ya fikra kushambuliwa. POINTI ZIFUATAZO ZITA KUSAIDIA 1.Unapo kuwa kikwazo kwa namna yoyote ile-kilasiku au kilamwaka BWANA YESU ATAKUWA ANA KWAMBIA-RUDI NYUMA YANGU-Haijalis...

FIKRA ILIYO SHAMBULIWA-Sehem ya kwanza

1. Angallia Ayub 36;18 inasema, Ujitunze isije hasira ikakuvuta. -Hii inamaanisha kwamba,fikra yako ikisha anza kushambuliwa na adui,hasira inaanza kukuvuta kufanya jambo furani.     Niwakati gani hasira inapo kuvuta? - Nipale unapo umizwa -Nipale unapo kwazwa -Nipale unapo hisi huku sikilizwa au hukutendewa haki 2.Fikra ikishambuliwa-Angalia vizuri Kumb 29;18 Linatokea shina lizaalo uchungu. Shina lizaalo uchungu inamaana ya kikwazo. Yaani linatokea kwazo furani moyoni -Shina lizaalo uchungu lisipo shughulikiwa haraka ndani yako,una kuwa upo katika hatali ya muda wowote. Fuatilia mistali hii kwa karibu- Ayub15;20,21(b)-22 na mst 29 Mungu anasema- Unakuwa mwovu kwasababu unauchungu kila siku,nakwamba,Hutakuwa tajiri na mali zako hazita dumu na akasema kuwa, Watekaji nyara watakuja kuiteka mali yako. 3.Fikra ikishambuliwa-Angalia Matendo 8;23- unakuwa kwenye kifungo cha uchungu cha nyongo- nyongo niovu ulio uweka moyoni mwako kama maumivu furani yanayo tokana nakutok...