FIKRA ILIYO SHAMBULIWA-Sehem ya kwanza
1. Angallia Ayub 36;18 inasema, Ujitunze isije hasira ikakuvuta.
-Hii inamaanisha kwamba,fikra yako ikisha anza kushambuliwa na adui,hasira inaanza kukuvuta kufanya jambo furani.
Niwakati gani hasira inapo kuvuta?
- Nipale unapo umizwa
-Nipale unapo kwazwa
-Nipale unapo hisi huku sikilizwa au hukutendewa haki
2.Fikra ikishambuliwa-Angalia vizuri Kumb 29;18 Linatokea shina lizaalo uchungu. Shina lizaalo uchungu inamaana ya kikwazo. Yaani linatokea kwazo furani moyoni
-Shina lizaalo uchungu lisipo shughulikiwa haraka ndani yako,una kuwa upo katika hatali ya muda wowote.Fuatilia mistali hii kwa karibu-Ayub15;20,21(b)-22 na mst 29 Mungu anasema-Unakuwa mwovu kwasababu unauchungu kila siku,nakwamba,Hutakuwa tajiri na mali zako hazita dumu na akasema kuwa,Watekaji nyara watakuja kuiteka mali yako.
3.Fikra ikishambuliwa-Angalia Matendo 8;23-unakuwa kwenye kifungo cha uchungu cha nyongo-nyongo niovu ulio uweka moyoni mwako kama maumivu furani yanayo tokana nakutokusamehe au kushindwa kuachilia kwa namna furani,niile hali unaweza kujionyesha mwenye furaha,kumbe ukiwa najambo lina kutafuna moyoyoni.Hicho ndo kifungo cha uchungu wa uovu-yaani nyonga.
Uponyaji wako
Angalia Ebrania 12;15 uwe makini sanashina la uchungu lisiweke mzizi ndani yako-maana linaweza kuwa sumbua hata wengine na kuwa tia unajisi.
Jambo lingine la kuku saidia,kumbuka sana hiyo Ayub 36;18 uwe makini sana pale hasira yako inapo kuvuta kufanya jambo furani
Usisahau kuwa,mara nyingi hasira hukuvuta pale linapo tokea shina lizaalo uchungu-kumbuka sana-kumb 29;18
Msomaji napenda kukupa fursa hii-tuko na ujenzi wa Hema la BWANA,tafadhari kama utasikia moyoni mwako ROHO MTAKATIFU akikushuhudia kuchangia chochote,hii ninafasi yako.
M-pesa ni 0763 359745
Tigo pesa ni 0712 583194
-KAMA HAUTAJALI ITIKADI YA KIDINI, BASI PANDA MBEGU YAKO KWENYE UDONGO HUU PIA-Amina
-Hii inamaanisha kwamba,fikra yako ikisha anza kushambuliwa na adui,hasira inaanza kukuvuta kufanya jambo furani.
Niwakati gani hasira inapo kuvuta?
- Nipale unapo umizwa
-Nipale unapo kwazwa
-Nipale unapo hisi huku sikilizwa au hukutendewa haki
2.Fikra ikishambuliwa-Angalia vizuri Kumb 29;18 Linatokea shina lizaalo uchungu. Shina lizaalo uchungu inamaana ya kikwazo. Yaani linatokea kwazo furani moyoni
-Shina lizaalo uchungu lisipo shughulikiwa haraka ndani yako,una kuwa upo katika hatali ya muda wowote.Fuatilia mistali hii kwa karibu-Ayub15;20,21(b)-22 na mst 29 Mungu anasema-Unakuwa mwovu kwasababu unauchungu kila siku,nakwamba,Hutakuwa tajiri na mali zako hazita dumu na akasema kuwa,Watekaji nyara watakuja kuiteka mali yako.
3.Fikra ikishambuliwa-Angalia Matendo 8;23-unakuwa kwenye kifungo cha uchungu cha nyongo-nyongo niovu ulio uweka moyoni mwako kama maumivu furani yanayo tokana nakutokusamehe au kushindwa kuachilia kwa namna furani,niile hali unaweza kujionyesha mwenye furaha,kumbe ukiwa najambo lina kutafuna moyoyoni.Hicho ndo kifungo cha uchungu wa uovu-yaani nyonga.
Uponyaji wako
Angalia Ebrania 12;15 uwe makini sanashina la uchungu lisiweke mzizi ndani yako-maana linaweza kuwa sumbua hata wengine na kuwa tia unajisi.
Jambo lingine la kuku saidia,kumbuka sana hiyo Ayub 36;18 uwe makini sana pale hasira yako inapo kuvuta kufanya jambo furani
Usisahau kuwa,mara nyingi hasira hukuvuta pale linapo tokea shina lizaalo uchungu-kumbuka sana-kumb 29;18
Msomaji napenda kukupa fursa hii-tuko na ujenzi wa Hema la BWANA,tafadhari kama utasikia moyoni mwako ROHO MTAKATIFU akikushuhudia kuchangia chochote,hii ninafasi yako.
M-pesa ni 0763 359745
Tigo pesa ni 0712 583194
-KAMA HAUTAJALI ITIKADI YA KIDINI, BASI PANDA MBEGU YAKO KWENYE UDONGO HUU PIA-Amina
Comments
Post a Comment