Leoleoplus,com

KUUMUDU UCHUNGU WA KUZAA

Si,watu wengi walio funuliwa kujua kwamba,ndani yao kuna kitu kina itwa UZAZI
Katika mwanzo 1;28-inaonyesha kwamba,toka tumboni mwa mama yako umeagizwa uzae. Umeagizwa kuzaa. Sasa hakumaanisha uzae watoto tu,ingekuwa hivyo isnge wafaa wazee vikongwe au vijana ambao hawaja oa.
Chukua mfano wa kuku,kabla hajapata kifaranga,anakaa ndani siku 21
Mwanamke kabla hajapata mtoto analea mimba miezi 9. katka Yoh 16;20-21-Bwana Yesu anazungumzia mfano mathubuti kuhusu ghama ya kuzaa.

URAHISI WA KUZAA

Soma vizuri Yoh 15;4-5-kwa urahisi kabisa unaweza kuzaa unapokuwa ndani yake.Hapo inamaana ya kuw ndani ya Neno. Neno likufunike kwa kila hatua yamaishsa yako. Usifanye maamuzi yoyote ambayo Neno haliya ungi mkono,kufanya hivyo nikuwa inje yake na si,ndandani yake.
-Unapo umudu uchungu wa kuzaa jambo,hakika UTAZAA-unapo zaa-nguvu,nguvu ya uwezesho itaachiliwa kwako-Yoh 15;2-ili uendelee kuzaa.
Kumbuka hili;
Unapo kuwa kwenye mchakat wa kusababisha kitu frani kitokee-mchakato huo ndo ujauzio-ule ugumu utakao upitia wa kusababisha hilo,huo ndo uchungu wa kuzaa kitu hicho.

NINI KITATOKEA KAMA HAUTAKUWA TAYALI KUUMUDU AU KUUKABILI UCHUNGU WA KUZAA?

Isaya 26;17-18-unazaa bilashida ila upepo. Hiki ndo kilio cha watu wengi,kwamba,yale wanayo yasumbukia na kuyataabikia hawayapati.Wame beba bimba nakupata uchungu lakini hawana matokeo,wamezaa upepo.Taabu yamikono yao inaliwa nawengine.wamezaaupepo
-Ayubu15;35 na zab 7;14-unapo kusdia kufanya jambo baya-hiyo ndo mimba ndani yako izaayo uovu.
Uwe makini kila wakati katika kila jambo unalo lipitia leo,maana kuumia kwako leo kwa ajili ya Mungu nikusema unachukua mimba ya kuzaa jambo kesho.
                     
                                UBARIKIWE
                        Karibu kwenye Huduma

Comments

Popular posts from this blog

NENO LAUFUNUO LA LEO tazama Ayubu 8:7"Tena ujapokuwa huo mwanzo wako ulikuwa mdogo,lakini mwisho wako ungeongezeka sana"NENO LA UFUNUO LASIKU YAKO LEO. MUNGU ANAKUTAKA USIWE NAMAWAZO YA KUDHARAU MWANZO WAKOMDOGO. KWAMAANA TABIA YA MUNGU NIKWAMBA,YEYE HUWA HAUDHARAUMWANZO MDOGO. HATAKAMA NIMWANZO MDOGO YEYE HATAUDHARAU. "Mungu alianza na mwanadamu mmoja,leo hii wako mabilioni. Yesu alianza na wanafunzi kumi nawawili,leohii anawafuasi wengi hata hawana idadi maanawengine walishatangulia mbinguni. Historia yamakanisa mengi Africa na ulimwengu kwaujumla,yalianza namwazo mdogo sana lakini yamekuwa makubwa nayakushangaza."KILA MWANADAMU CHINI YAJUA ANAPITIA UZOEFU HUU WA KIPINDI CHAMWANZOMDOGO.LEO INABIDI UJIULIZE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WAJAMBO GANI? JE UKO KWENYE MWANZOMDOGO WA KUANZISHA KAZI YAMUNGU? JE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WANDOA? UKO KWENYEMWANZO WABIASHARA? UKO KWENYE MWANZO WA OFISI MPYA? UKO KWENYE MWANZO WAUCHUMBA? UKO KWENYE MWANZO WA AJIRA? UKO KWENYE MWANZO GANI? TAZAMA zekaria 4:10"maana ninani aliyeidharau siku yamambo madogo?.....OK. UNAONYWA! USIDHARAU MWANZO MDOGO ULIO NAO LEO. USIVUNJWE MOYO NAMWANZO MDOGO. USIKATISHWETAMAA NAMWANZO MDOGO.USIJIWAZIE VIBAYA KWASABABU YA MWANZO WAKO MDOGO. LEO,PIGA MOYO WAKO KONDE UCHANGAMKE MWISHO WAKO NIMZURI. MWISHO WAKO NIMKUBWA. POKEA NENO HILI LAUFUNUO ALILO KUTUMIA MUNGU SIKU YALEO.JITAHIDI UJE KANISANI UPATE MAELEKEZO ZAIDI. HUDUMA YA NENO LAUFUNUO CHINI YA MWANGALIZI MKUU MWL NA MTUME ARAM J.KAYENGELA IMEFANYIKA BARAKA SANA YAKIROHO NAKIMWILI KWAWOTE WALIO FANIKIWA KUJIUNGA RASMI. NIHUDUMA YAKIROHO YENYE UHUISHO MPYA KATIKA SIKU HIZI ZA HATALI AMBAZO KANISA LIMESAHAU UPENDO WAKWANZA.KANISA LIMEPOA.WATU WAKO MOTO KISIASA ILA KIROHO WAMEPOA KABISA.NINYAKATI ZA YEYE ALIYE NASIKIO AYASIKIE HAYA AMBAYO ROHO ANAYAMBIA MAKANISA.HERI MWENYE SIKIO LAKUSIKIA SASA. NIMUDA WAKO WAKUJA KWENYE NENO LAUFUNUO IKIWA ULIMUULIZA MUNGU AKUONYESHE NIWAPI UENDE. SIMAMA KWAMIGUU YAKO NAUCHUKUE HATUA. 0763359745/0712583194

MFULULIZO WA MAFUNDISHO YA APOSTLE ALAM J. KAYENGELA KWENYE KONGAMANO LA SIKU NANE ARUSHA TANZANIA (TAREHE 5-12 MWAKA 2013)

SEHEMU YA PILI