Posts

Showing posts from April, 2013

Leoleoplus,com

TANGAZO TANGAZO TANGAZO

Image
Huduma ya NENO LA UFUNUO (T) (Word of the Revelation Ministry) yeny makao makuu Dar es Salaam – Tanzania chini ya mwangalizi mkuu Mtume Alam Kayengela,  tunapenda kuwatangazia kua, Mtume Alam Kayengela ni mhudumu wa NENO la MUNGU (neno la ufunuo). Anaye hudumia neno la MUNGU bila mipaka yeyote ya kidini. Akipokea mialiko nchini na nje ya nchi. Anapokea mialiko ya kuhudumu katika semina mbalimbali na makongamano ya kitaifa na kimataifa. KUANZIA TAR 5 th May  2013  hadi 13 th May 2013 Mtume Alam Kayengela atakua akihudumu katika kongamano kubwa litakalo fanyika nchini Tanzania, lilliloandaliwa na HUDUMA YA   NAOITH DEVINE POWER CHRISTIAN CENTER Yenye makao yake makuu Mkoani ARUSHA , c hini ya mwangalizi mkuu Mtume Mathayo Nko , ambaye yeye ndiye mwenyeji wa kongamano hili. WAHUDUMU WATAKAO HUDUMU KATIKA KONGAMANO HILO     Mwangalizi mkuu wa huduma ya NDPCC - Mtume Mathayo Nko, mwenyeji wa kongam...

SAA HII UNAWAZA NINI?

*Kile unacho kiwaza saa hii,nimuhimu sana kwa shetani nakwa Mungu pia nakwako. Ukisoma katika 2kor 10;3-5-una ona vitu 3                             1.kuangusha mawazo                -maana yake,si kila wazo linapaswa kusimama kwenyemaisha yako              2.kuteka nyara kila fikra ipate kumtii Kristo               -maanayake,nikujua kuziongoza fikra zako              3.kile kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu               -Nilile wazo linalo inuka kinyume na elimu ya ufahamu wa kiMungu ulio nao katika wokovu-MFANO -Wazo lina inuka nakukwambia-Yesu Kristo ing...

KUJUA KUTEMBEA NA MUNGU NIPAMOJA NAKUJUA KUSOMA ALAMA ZA NYAKATI KATIKA ROHO

Kuna aina kama 4 zanyakati katika ulimwengu wa roho,lakini zote zikielezea hali moja 1.Nyakat za giza kiroho 2.Nyakati za jangwani kiroho 3.Nyakati za usiku kiroho 4.Nyakati za kiangazi kiroho Kwanamna yoyote lazima kilamtu ajue kuwa,nyakati hizi huwa zinamkuta nawala haziepukiki.Nninyakakati za asiri katika roho,haziepukiki *Hizi nizile nyakati ambazo,Mungu anakuwa ameuweka moyo wako kwenye darubini aumaabara yakiroho ili  kupima nakuangalia kina cha upendo wako kwake-Daudi alili jua vema jambo hili nakumwambia Mungu amjaribi nakumpima-Zab 26;2 *Kwamaana nyingine,nyakati hizi,nizile ambazo kiuhalisi,inaonekana kama vile Mungu hayuko kati kati ya maisha yako,kamavile hajishughulishi kwa lolote kuhusu wewe binafsi,kama vile maombi yako nikelele tu na kujichosha bule,kama vile Mungu hakutetei kwa lolote. -Hatakama moyo wako unampendeza Mungu kiasi gani,lazima tu,moyo wako utapitia uzoefu huu Ukisoma katika matendo 13;22-unaona wazi kwamba,Daudi alikuwa nasifa muhimu ya...

UJUMBE ALIO HUBILI LEO APOSTLE ALAM J.KAYENGELA NI JUU YA;

KILE AMBACHO DHAMBI INATENDA Utangulizi. Mungu alimwambia Kaini kwamba,dhambi iko mlangoni inamtamani-mwz 4;7 -hii inamaanisha kwamba,dhambi hiyo ilikuwa bado haijamuingia,hivyo uwezekano wa kuishinda ulikuwepo. Katika zab 59;12 tuna ona dhambi yakinywa-maanayake,dhambi inajitahidi iweze kupata nafasi ya kukaa kwenyekinywa chako. 1kortho 8;12 inaweka wazi kwamba,kosa lolote unalo mkosea mtu,unakuwa ume muumiza Bwana Yesu mwenyewe.Unakuwa umemtenda dhambi yeye mwenyewe. Unapo angalia katika 2Tim 3;6 dhambi ni mzigo.Dhambi inamizigopia. Nakatika Yakob 1;15-dhambi inazaa.Nikitu hai. Dawa ya dhambi nini? ok, dawa ya dhambi ni DAMU YA BWANA YESU,NA TOBA-1Yoh 1;7 Na katika Rumi 6;12-14 na 3;9-dhambi ina uwezo wa kutawala. Unapo soma Rumi 7;25,8;2-unaona wazi kwamba,dhambi inasheriazake.Hivyo,inaonyesha wazi kwamba haiwezi kuku tawala bila hiyo sheria Mshahara wa dhambi ni mauti-Rumi 6;23-ok,dhambi inamalipo. Dhambi inamshahara.Nikitu hai. SOMO 1.Dhammbi inaleta maradhi...

NENO LAUFUNUO LAWIKI HII KWA KANISA ULIMWENGUNI

KUSIMAMA NA MUNGU 1.Kusimama na Mungu maanayake nikuwa na msimamo rohoni mwako katika Neno la Mungu 2.Bakia kwenye msimamo-ninapo sema ubakie kwenye msimamo nina maanisha nini? -nina maanisha kwamba,- MFANO 1Samweli 1;1-19-Hana.alikuwa namsimamo wa kutokufikilia njia mbadara zisizo faa zakujipatia mtoto-mstali wa 20-hatimae alichukua mimba.Haya nimatokeo yamsimamo.Hatimaye unachukua mimba. Mimba iki wakilisha,Nguvu ya Mungu inayo kuja juu yako ili kusababisha kitu furani kutokea kwenye maisha yako. Katika kitabu cha mwanzo 17;15-19-inaonyesha wazi kwamba,kihalisi,Iblahimu alikuwa amesha poteza imani akilini mwake,alibaki namsimamo tu, rohoni mwake,kwamba,Mungu anaweza kufanya alicho sema-Rumi 4;20-21. Tazama pia mwanzo 21;1-7-hatimae Iblahimu alipata mtoto.Mstali wa 6-7-inaonyesha kwamba,ukiwa na msimamo rohoni mwako,hatimae una fanyiwa kicheko.Yaani Mungu ana kjibu. 3.NIWAPI WEWE UNAHITAJI MSIMAMO? 1.Unapo kuwa mgonjwa. -mathayo 8;17,Isaya 53;4-5.Mambo mawili uya angal...