Leoleoplus,com

KUJUA KUTEMBEA NA MUNGU NIPAMOJA NAKUJUA KUSOMA ALAMA ZA NYAKATI KATIKA ROHO

Kuna aina kama 4 zanyakati katika ulimwengu wa roho,lakini zote zikielezea hali moja

1.Nyakat za giza kiroho

2.Nyakati za jangwani kiroho

3.Nyakati za usiku kiroho

4.Nyakati za kiangazi kiroho
Kwanamna yoyote lazima kilamtu ajue kuwa,nyakati hizi huwa zinamkuta nawala haziepukiki.Nninyakakati za asiri katika roho,haziepukiki

*Hizi nizile nyakati ambazo,Mungu anakuwa ameuweka moyo wako kwenye darubini aumaabara yakiroho ili  kupima nakuangalia kina cha upendo wako kwake-Daudi alili jua vema jambo hili nakumwambia Mungu amjaribi nakumpima-Zab 26;2

*Kwamaana nyingine,nyakati hizi,nizile ambazo kiuhalisi,inaonekana kama vile Mungu hayuko kati kati ya maisha yako,kamavile hajishughulishi kwa lolote kuhusu wewe binafsi,kama vile maombi yako nikelele tu na kujichosha bule,kama vile Mungu hakutetei kwa lolote.
-Hatakama moyo wako unampendeza Mungu kiasi gani,lazima tu,moyo wako utapitia uzoefu huu
Ukisoma katika matendo 13;22-unaona wazi kwamba,Daudi alikuwa nasifa muhimu yakiroho yakuupendeza moyo wa Mungu,lakini kwa vipindi tofauti tofauti alijikuta katika nyakati hizi.
Katika zab 46;7-Alianza kwa kufurahia uwepo wa kiMungu alio uhisi kwenye maisha yake-haikuchukua muda,mambo yalikuwa yamebadirika-katika zab  60;1-tayali,anahisi kuachwa na Mungu.Haikuchukua muda,hali hiyo ilikuwa imebadirijka tena-zab 115;12-uwepo waMungu ulikuwa umerudi.Vema,inaonekana inafurahisha.
*Katika zab 10;1,na 13;1,22;2-hali ya tofauti,inajitokeza na kuushitua moyo wa Dudi.Mungu alionekana amejificha tena nyakati za shida ambazo alihitajika zaidi.Ujiulize binafsi kama wewe,ungefanyaje Mungu anapo jificha hasa kwa wakati ule unapo kuwa kwenye shida? Anapo onekana kuwa mbali na wewe.
-Daudi hakuchelewa kugundua kitu-aligundua kuwa,Mungu alikuwa akimjaribu au kumpima-zab 11;5-Mungu,huupima upendo wetu kwake,wakati kama huo.
*Katika zab 131;2-Daudi,aligundua suruhisho la haya yote kwamba,ni KUITULIZA NAFSI YAKE NA KUINYAMANZISHA.
*Hiyo ndityo siri pekee itakayo kusaidia hata wewe. Tuliza mawazo yako na uinyamazishe Nafsi yako,

kwa ushauri zaidi piga 0763359745 au 0712583194 mtumishi wa Mungu ata kuelekeza mengi zaidi. AMEN





Comments

Popular posts from this blog

NENO LAUFUNUO LA LEO tazama Ayubu 8:7"Tena ujapokuwa huo mwanzo wako ulikuwa mdogo,lakini mwisho wako ungeongezeka sana"NENO LA UFUNUO LASIKU YAKO LEO. MUNGU ANAKUTAKA USIWE NAMAWAZO YA KUDHARAU MWANZO WAKOMDOGO. KWAMAANA TABIA YA MUNGU NIKWAMBA,YEYE HUWA HAUDHARAUMWANZO MDOGO. HATAKAMA NIMWANZO MDOGO YEYE HATAUDHARAU. "Mungu alianza na mwanadamu mmoja,leo hii wako mabilioni. Yesu alianza na wanafunzi kumi nawawili,leohii anawafuasi wengi hata hawana idadi maanawengine walishatangulia mbinguni. Historia yamakanisa mengi Africa na ulimwengu kwaujumla,yalianza namwazo mdogo sana lakini yamekuwa makubwa nayakushangaza."KILA MWANADAMU CHINI YAJUA ANAPITIA UZOEFU HUU WA KIPINDI CHAMWANZOMDOGO.LEO INABIDI UJIULIZE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WAJAMBO GANI? JE UKO KWENYE MWANZOMDOGO WA KUANZISHA KAZI YAMUNGU? JE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WANDOA? UKO KWENYEMWANZO WABIASHARA? UKO KWENYE MWANZO WA OFISI MPYA? UKO KWENYE MWANZO WAUCHUMBA? UKO KWENYE MWANZO WA AJIRA? UKO KWENYE MWANZO GANI? TAZAMA zekaria 4:10"maana ninani aliyeidharau siku yamambo madogo?.....OK. UNAONYWA! USIDHARAU MWANZO MDOGO ULIO NAO LEO. USIVUNJWE MOYO NAMWANZO MDOGO. USIKATISHWETAMAA NAMWANZO MDOGO.USIJIWAZIE VIBAYA KWASABABU YA MWANZO WAKO MDOGO. LEO,PIGA MOYO WAKO KONDE UCHANGAMKE MWISHO WAKO NIMZURI. MWISHO WAKO NIMKUBWA. POKEA NENO HILI LAUFUNUO ALILO KUTUMIA MUNGU SIKU YALEO.JITAHIDI UJE KANISANI UPATE MAELEKEZO ZAIDI. HUDUMA YA NENO LAUFUNUO CHINI YA MWANGALIZI MKUU MWL NA MTUME ARAM J.KAYENGELA IMEFANYIKA BARAKA SANA YAKIROHO NAKIMWILI KWAWOTE WALIO FANIKIWA KUJIUNGA RASMI. NIHUDUMA YAKIROHO YENYE UHUISHO MPYA KATIKA SIKU HIZI ZA HATALI AMBAZO KANISA LIMESAHAU UPENDO WAKWANZA.KANISA LIMEPOA.WATU WAKO MOTO KISIASA ILA KIROHO WAMEPOA KABISA.NINYAKATI ZA YEYE ALIYE NASIKIO AYASIKIE HAYA AMBAYO ROHO ANAYAMBIA MAKANISA.HERI MWENYE SIKIO LAKUSIKIA SASA. NIMUDA WAKO WAKUJA KWENYE NENO LAUFUNUO IKIWA ULIMUULIZA MUNGU AKUONYESHE NIWAPI UENDE. SIMAMA KWAMIGUU YAKO NAUCHUKUE HATUA. 0763359745/0712583194

MFULULIZO WA MAFUNDISHO YA APOSTLE ALAM J. KAYENGELA KWENYE KONGAMANO LA SIKU NANE ARUSHA TANZANIA (TAREHE 5-12 MWAKA 2013)

SEHEMU YA PILI