Leoleoplus,com

UJUMBE ALIO HUBILI LEO APOSTLE ALAM J.KAYENGELA NI JUU YA;

KILE AMBACHO DHAMBI INATENDA

Utangulizi.

Mungu alimwambia Kaini kwamba,dhambi iko mlangoni inamtamani-mwz 4;7
-hii inamaanisha kwamba,dhambi hiyo ilikuwa bado haijamuingia,hivyo uwezekano wa kuishinda ulikuwepo.

Katika zab 59;12 tuna ona dhambi yakinywa-maanayake,dhambi inajitahidi iweze kupata nafasi ya kukaa kwenyekinywa chako.

1kortho 8;12 inaweka wazi kwamba,kosa lolote unalo mkosea mtu,unakuwa ume muumiza Bwana Yesu mwenyewe.Unakuwa umemtenda dhambi yeye mwenyewe.

Unapo angalia katika 2Tim 3;6 dhambi ni mzigo.Dhambi inamizigopia.

Nakatika Yakob 1;15-dhambi inazaa.Nikitu hai.

Dawa ya dhambi nini? ok, dawa ya dhambi ni DAMU YA BWANA YESU,NA TOBA-1Yoh 1;7

Na katika Rumi 6;12-14 na 3;9-dhambi ina uwezo wa kutawala. Unapo soma Rumi 7;25,8;2-unaona wazi kwamba,dhambi inasheriazake.Hivyo,inaonyesha wazi kwamba haiwezi kuku tawala bila hiyo sheria

Mshahara wa dhambi ni mauti-Rumi 6;23-ok,dhambi inamalipo. Dhambi inamshahara.Nikitu hai.

SOMO

1.Dhammbi inaleta maradhi au magonjwa-mark 2;1-10

NDUGU MPENDWA,ENDELEA KUFUATILIA WIKI IJAYO

Comments

Popular posts from this blog

NENO LAUFUNUO LA LEO tazama Ayubu 8:7"Tena ujapokuwa huo mwanzo wako ulikuwa mdogo,lakini mwisho wako ungeongezeka sana"NENO LA UFUNUO LASIKU YAKO LEO. MUNGU ANAKUTAKA USIWE NAMAWAZO YA KUDHARAU MWANZO WAKOMDOGO. KWAMAANA TABIA YA MUNGU NIKWAMBA,YEYE HUWA HAUDHARAUMWANZO MDOGO. HATAKAMA NIMWANZO MDOGO YEYE HATAUDHARAU. "Mungu alianza na mwanadamu mmoja,leo hii wako mabilioni. Yesu alianza na wanafunzi kumi nawawili,leohii anawafuasi wengi hata hawana idadi maanawengine walishatangulia mbinguni. Historia yamakanisa mengi Africa na ulimwengu kwaujumla,yalianza namwazo mdogo sana lakini yamekuwa makubwa nayakushangaza."KILA MWANADAMU CHINI YAJUA ANAPITIA UZOEFU HUU WA KIPINDI CHAMWANZOMDOGO.LEO INABIDI UJIULIZE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WAJAMBO GANI? JE UKO KWENYE MWANZOMDOGO WA KUANZISHA KAZI YAMUNGU? JE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WANDOA? UKO KWENYEMWANZO WABIASHARA? UKO KWENYE MWANZO WA OFISI MPYA? UKO KWENYE MWANZO WAUCHUMBA? UKO KWENYE MWANZO WA AJIRA? UKO KWENYE MWANZO GANI? TAZAMA zekaria 4:10"maana ninani aliyeidharau siku yamambo madogo?.....OK. UNAONYWA! USIDHARAU MWANZO MDOGO ULIO NAO LEO. USIVUNJWE MOYO NAMWANZO MDOGO. USIKATISHWETAMAA NAMWANZO MDOGO.USIJIWAZIE VIBAYA KWASABABU YA MWANZO WAKO MDOGO. LEO,PIGA MOYO WAKO KONDE UCHANGAMKE MWISHO WAKO NIMZURI. MWISHO WAKO NIMKUBWA. POKEA NENO HILI LAUFUNUO ALILO KUTUMIA MUNGU SIKU YALEO.JITAHIDI UJE KANISANI UPATE MAELEKEZO ZAIDI. HUDUMA YA NENO LAUFUNUO CHINI YA MWANGALIZI MKUU MWL NA MTUME ARAM J.KAYENGELA IMEFANYIKA BARAKA SANA YAKIROHO NAKIMWILI KWAWOTE WALIO FANIKIWA KUJIUNGA RASMI. NIHUDUMA YAKIROHO YENYE UHUISHO MPYA KATIKA SIKU HIZI ZA HATALI AMBAZO KANISA LIMESAHAU UPENDO WAKWANZA.KANISA LIMEPOA.WATU WAKO MOTO KISIASA ILA KIROHO WAMEPOA KABISA.NINYAKATI ZA YEYE ALIYE NASIKIO AYASIKIE HAYA AMBAYO ROHO ANAYAMBIA MAKANISA.HERI MWENYE SIKIO LAKUSIKIA SASA. NIMUDA WAKO WAKUJA KWENYE NENO LAUFUNUO IKIWA ULIMUULIZA MUNGU AKUONYESHE NIWAPI UENDE. SIMAMA KWAMIGUU YAKO NAUCHUKUE HATUA. 0763359745/0712583194

MFULULIZO WA MAFUNDISHO YA APOSTLE ALAM J. KAYENGELA KWENYE KONGAMANO LA SIKU NANE ARUSHA TANZANIA (TAREHE 5-12 MWAKA 2013)

SEHEMU YA PILI