Posts

Showing posts from December, 2013

Leoleoplus,com

NENO LA UFUNUO LA WIKI HII KWA KANISA ULIMWENGUNI-Sehemu ya 3 MATOKEO YA UGONJWA WA USAHAULIFU

Image
Msahaulifu kamwe hakuwahi kujua matokeo ya ugonjwa ule alio ambiwa na Dkt. wake [ugonjwa wa usahaulifu] KUSOMA SHULE NZURI BILA MAFANIKIO Msahaulifu alikuja kugundua ugonjwa wake wa usahaulifu ulivyo mbaya baada ya kutumia miaka mikgi sana shuleni bila mafanikio. KUFERI KILA MTIHANI DARASANI Sikumoja msahaulifu alimwita mwalimu wake pembeni,huku akiwa amenyongonyea sana na kumuuliza- Mwalimu,mimi mbona kila mtihani nimekuwa nikiferi? au labda wachawi wananisumbua?kwanini naferi kila mtihani? Mwalimu wakati anamjibu,alimkazia macho akamnyoshea fimbo nakumwambia- Unakumbuka nimekuwa nikikuuliza uniambie ulicho jifunza unaniambia nimesahau? sasa kama unasahau ninacho kufundisha,unategemea kushinda mtihani?- kwasababu pia msahaulifu hakuwa na muda wa kutembelea daftali zake ili kujisomea yale aliyo jifunza. Mwalimu alisikitika sana akamwambia- SASA ONA,hata mitihani midogo inakushinda                           ...

NENOLAUFUNUO KWAKANISA ULIMWENGUNI-sehemu ya pili-MFANO WA MTU ANAYE ITWA MSAHAULIFU

Image
Mwalimu na Mtume Aram J.Kayengela kiongozi mkuu mwanzirishi wa Huduma ya Neno la Ufunuo yenye makao makuu Dar es salaam Tnzania Manispaa ya Ilala Kata ya Chanika-Jana alikuwa akiendeleza ujumbe wa wiki iliyo pita. Akasema; LEO NITAKUWA NAONGELEA MFANO WA MTU ANAYEITWA MSAHAULIFU a Alielezea kwamfano halisi kuhusu mtu aitwaye msahaulifu jinsi alivyo zaliwa. Akasema, Mtu huyu aitwaye msahaulifu alizaliwa nababa mwenye uwezo. Uwezo wa kiakili,kipesa,n.k Kulingana na mazingira aliyo zaliwa mtu huyu aitwaye msahaulifu yalivyo kuwa yakiuwezo,alipelekwa shule nzuri sana,shule yenye mafunzo yasiyo patikana kwa urahisi. Malezi yamtuhuyu(msahaulifu) yalikuwa yaghalama sana,kwani baba yake alimuandalia malezi mzuri sana aliye mlisha chakula bora kilicho pimwa. Katika upande wa matatizo ya kiafya-mzazi wake alihakikisha huyu msahaulifu anachekiwa kilamwezi,katika hali ya kawaida kwakweli msahaulifu huyu hakuwahi kukutwa na tatizo lolote kama TB,KISUKALI,HOMA,KANSA,UVIMBE,WALA UKIMWI-kw...