Posts

Showing posts from October, 2013

Leoleoplus,com

NENO LA UFUNUO LA WIKI HII KWA KANISA ULIMWENGUNI - SEHEMU YA 5

Image
TUNZA KICHEKO CHA MOYONI. Mtume Alam Kayengela akiwahudumia waamini waliofika katika ibada jumapili hii. Mwanzo 17:15 - 19  Mst 17 "Ndipo Ibrahimu akaanguka kifudifudi, akacheka akasema moyoni , Je mtu wa umri wa miaka mia kwake atazaliwa mtoto? Mwanzo 18:12 " Kwahiyo Sara akacheka moyoni mwake, akasema niwapo mkongwe nitapata furaha na bwana wangu mzee? Mtume Alam Kayengela akimuhudumia muumini aliyefika katika ibada jumapili hii. ANGALIA HILO: "Kwahiyo Sara akacheka moyoni mwake. Lakini akilini mwake alikuwa na kilio cha bibi kizee, mkongwe asiye weza kubeba mimba. Akacheka moyoni pale NENO lilipo mjia. Kutunza kicheko cha moyoni inamaanisha kutunza furaha ya moyoni.  Kukosa furaha nisawa na kuwa mateka, unapokosa furaha wewe ni mfungwa, asiye huru. Umefungwa na nini? Mfano: kama umepata hasara fulani ikaupelekea kukosa furaha maana yake hiyo hasara imefanyika mnyororo wa kukufunga ili usipate furaha......... Itaendelea wiki ij...

NENOLAUFUNUO LAWIKI HII KWAKANISA ULIMWENGUNI-Sehemu ya3 MAMBO GANI UYATARAJIE PALE UNAPOMFANYA MUNGU AJUTE KWASABABU YAKO?

Image
UTANGULIZI WAKIUFUNUO Apostle Alam J.Kayengela ambaye ni kiongozi mkuu mwanzirishi wa Huduma ya Neno la Ufunuo dunani,katika idada yajana alianza utangulizi wakiufunuo akasema; MTOTO MCHANGA KIROHO,HAELEWI VEMA MAHALIGANI AWEKE FURAHAYAKE ILI KUILINDA. -AKASEMA-Ukisoma vizuri Yoh 14;27 Yesu anasema- Amani yangu nawapeni.... Sasa unajua,huwezi kuwanaamani bila furaha nahuwezi kuwa nafuraha bila amai.Kwahiyo,tunaweza kusema katika mstali huo anasema,FURAHA YANGU NAWAPENI-hii nikwakila aliye okoka. UMEPEWA FURAHA. UMEBARIKIWA FURAHA. Sasa kwaninihunafuraha? Sababu moja wapo,uchanga wakiroho wakutokujua wapi uihifadhi furaha yako ili isishambuliwe umechangia. Huwa huelewi wapi uiweke furaha yako,ndiyomaana inashambuliwa kilamara.Kukosa Neno laUfunuo kumechangia hilo pia. Katika 1kor 14;20 anasema, Ndugu zangu msiwe watoto katika akili zenu....bali katika akili zenu mkawe watu wazima. Umelielewa hilo? usiwe mtoto katika akili zako.Kunautoto kwenye akili. Hii haihusiani naelimu yak...

NENO LAUFUNUO LAWIKI HII KWA KANISA ULIMWENGUNI-sehemu ya pili-TAHADHARI YAKIUFUNUO-Usimfanye Mungu ajute kwasababu yako

Image
Kiongozi mkuu mwanzirishi wa Huduma ya Neno la ufunuo ulimwenguni-Mtume Alam J.Kayengela alitoa onyo kwa kanisa duniani nakusema; JIHADHARI SANA USIJE UKAMFANYA MUNGU AJUTE KWASABABU YAKO Mtume Kayengela alisema- Unajua nikwanini unatakiwa kujihadhari sana usije ukamfanya Mungu ajute kwasababu yako? Nikwasababu yeye si mtu wala simwanadamu mpaka ajute-Hesabu 23;19 Mtume Kayengela akasema- Elimu ya kidhebu au chachu ya kifalisayo inasema-Mungu hawezi kujuta hata siku moja.Apostle Alam akasema-kwakweli hiyo nielimu na chachu ya kifalisayo. Nichachu ya kidhehebu. Kama nimuhubiri unaye jaribu kusisitiza kitu ambacho wewe mwenyewe hukielewi vizuri,ujue unajaribu kutema sumu ya chachu ya kifalisayo au yakidhehebu,ndiyo maana wakati mwingine unaweza kuushambulia ukweli bila wewe kujua. JIHADHARI USIMFANYE MUNGU AJUTE KWA SABABU YAKO 1samweli 15;1o-11 inasema, Ndipo Neno la BWANA likamjia Samweli,kusema,Najuta kwasababu nimemtawaza Sauli awe mfalme;maana amerudi nyuma,asinifuat...