Posts

Showing posts from May, 2013

Leoleoplus,com

MFULULIZO WA MAFUNDISHO YA APOSTLE ALAM J. KAYENGELA KWENYE KONGAMANO LA SIKU NANE ARUSHA TANZANIA (TAREHE 5-12 MWAKA 2013)

SIKU YA 8:                                            ·          NAMNA YA KUPOKEA USHINDI WA MUNGU DHIDI YA MIUNGU. -           Hii inamaanisha namna ya kupokea mbinu za kushinda miungu. -           Misingi 4 ya vyanzo vya nguvu za Mungu inayokufanya upate NGUVU YA MUNGU ya kushinda miungu migeni ya kipepo. ·          Msingi wa kwanza: AMUA KUWA SADAKA Unapofikia maamuzi haya ya kuwa sadaka ya Mungu siyo rahisi hatakidogo kushindwa na miungu. ·          Kumbuka   - Isaka alikuwa sadaka iliyotolewa kwa Mungu – Mwz 22:1 – 2. Ukubwani mwake, shetani a...

MFULULIZO WA MAFUNDISHO YA APOSTLE ALAM J. KAYENGELA KWENYE KONGAMANO LA SIKU NANE ARUSHA TANZANIA (TAREHE 5-12 MWAKA 2013)

SIKU YA 7:                                            ·          KAZI ZA MIUNGU YA WAFILISTI. 1.     Kufuatilia na kuvizia watu maalumu waliokabidhiwa kitu maalumu na Mungu. -           Hili linapaswa liwe onyo muhimu hasa kwa watu Fulani waliokabidhiwa jukumu maalumu na Mungu. Umuhimu wa jambo hili, hatuwezi kuuelewa kwa ukamilifu kwa akili zetu hizi za kibinadamu zilizojaa ubinadamu. Kufuatilia na kuvizia watu maalumu waliokabidhiwa kitu maalumu na Mungu ni moja ya vipaumbele vya shughuli za miungu ya wafilisti. Mfano Mfalme Sauli kwa mashimo makubwa mawili, miungu ilifanikiwa kummaliza. 1.     shimo la kukosa uvumilivu wa kiimani – 1 Samwel 13:8 – 14...