Posts

Showing posts from January, 2012

Leoleoplus,com

Huduma ya Neno La Ufunuo

Image
Mtumishi huyu  anapokea mialiko ya kuhudumu bila ubaguzi wowote wa kidini, au  kidhehebu katika makongamano na  mikutano mbali mbali pamoja na semina ndni na nje ya nchi.  Ni mwalimu aliyepewa neema ya neno la ufunnuo  kwa ajili ya kulisaidia  kanisa la kizazi hiki ulimwenguni Mungu amempaka mafuta  yakusaidia  watumishi wa Mungu  kwa namna mbalimbali kiroho katika kizazi hiki. Mtumishi huyu ni mmoja ya  watumishi waliopata neema ya pekee ya uandishi wa vitabu vyenye mguso  dhahiri  wa kiroho. Ni mmoja ya  watumishi wanaoandika vitabu  kwa kuambiwa na kuongozwa Muungu moja kwa moja. Mpaka sasa ameandika vitabu vifuatavyo;
Image
Historia  fupi ya Mkurugenzi mkuu mwanzilishi wa huduma ya  neno la ufunuo Mwl. na Mtume Alam J. Kayengela Amezaliwa Kigoma wilaya ya Kasulu katika Kitongoji cha  Mwilavya. Mpaka kufikia mwaka  2012 yeye na mkewe Dorkas  wamebarikiwa  baraka za kuwa na watoto watatu;  Atukuzwe,   Utukufu na   Utakaso. Watoto wote watatu ni wakiume na wamebarikiwa kuwa na afya njema.  Mtumishi huyu  anapokea mialiko ya kuhudumu bila ubaguzi wowote wa kidini, au  kidhehebu katika makongamano na  mikutano mbali mbali pamoja na semina ndni na nje ya nchi.  Ni mwalimu aliyepewa neema ya neno la ufunnuo  kwa ajili ya kulisaidia  kanisa la kizazi hiki ulimwenguni Mungu amempaka mafuta  yakusaidia  watumishi wa Mungu  kwa namna mbalimbali kiroho katika kizazi hiki. Mtumishi huyu ni mmoja ya  watumishi waliopata neema ya pekee ya uandishi wa vitabu vyenye mguso  dhahiri  wa ki...