Leoleoplus,com

NENO LAUFUNUO LALEO.Sefania 2:15"Huu ndiomji ule wafuraha,uliokaapasipo kufikiri,ulio sema moyoni mwake,mimi niko hapana mwingine ila mimi. Jinsi ulivyokuwa ukiwa mahali pakulala pa wanyama wabara!kila apitaye atazomea,nakutikisa mkonowake"ANGALIA VIZURI NENO HILI;HUU NDIOMJIULE WAFURAHA ULIO KAA PASIPO KUFIKIRI-Maana yake furaha yako yaleo isikufanye uwe kipofu kiasi cha kutokufikiri kwanini wewe unafuraha. Kumbuka naufikiri kwamba,wakati wewe mudahuu unahisi furaha niwakati huo huo kunamtu anaomboleza kwamaana amepatwa na ajali nakupoteza baadhi yaviungo,analia kwamaombolezo maana hakuzaliwa akiwa mlemavu. Wakati wewe unafurahia leo ,ufikiri nakukumbuka kwamba kunamtu leo hii hii analia kwakufiwa namtu wake wakaribu sana aliiye mtegemea kalibu kwakilajambo. Wakati wewe unafurahaleo,kunamtu amepoteza ajira. Amefukuzwa bila sababu zamsingi anawaza atafanyaje kuitunza familia nawakati huo huo anamadeni anatishiwa kupelekwa polisi! Lakini wakati huu huu leo kunamtu amefiwa nawatoto alio wapenda sana nao pia walimpenda OK. NENO LAUFUNUO LALEO,MUNGU ANASEMA NAMOYO WAKO"USIKAE PASIPO KUFIKIRI.FURAHA YAKO YALEO ISIKUPOFUSHE UKAJISAHAU KIASI CHAKUSAHAU KULE ULIKO TOKA. USIJISEMEE MOYONI MIMI SIWEZI NIKAPATIKANA NAMABAYA.BADARAYAKE UNAAGIZWA LEO UNYENYE KEE NAKUJAA SHUKURANI KWAMUNGU. AMINA. kama Roho Mtakatifu atasema namawazo yako kwahabari yakumtolea Mungu shukurani kulingana na Neno la Ufunuo la leo karibu kwasadaka hiyo,Mungu ataikubali kama inatoka kwenyemoyo washukurani M-pesa ni 0763359745 TIGO-pesa ni 0712583194 na AC NO. NI 0152274542500 jina la ac.ni ARAM JAPHET KAYENGERA benk ni CRDB BRANCHI YA LUMUMBA DSM. KUTOA NIMOYO. SIYO WINGI. NAKUMBUKA NILIPO ANZA KUFUNGUKA KWENYE ENEO HILI LAKUSHUKURU KUTOKANA NA NENO LAUFUNUO NILILO LIPOKEA KWA WAKATI HUO. NIMEONA FURAHAYANGU IKIIMALISHWA.BAADA YAKUTOA SADAKAYAKO NITAFURAHI UKINIJULISHA ILI KAMA MAZINGIRA YATARUHUSU TUWEZE KUOMBA PAMOJA KWASADAKA HIYO sali sara hii KAMA LEO UTAPENDA KUOKOKA. sema;Ee Bwana Yesu. Nisamehe dhambi zangu zote leo ninazitubu sita ludia tena. Futa jina langu kwenyekitabu cha hukumu uliandike kwenyekitabu cha uzima. Amina. LEO NIMEOKOKA. NAKATAA KURUDINYUMA KWAJINA LAYESU. karibu kanisani ujifunze zaidi. Tupo Dar es salaam eneo la Chanika mtaa wakaanani kitongoji cha Lukooni karibu nashule yamsingi. Kanisa limepauliwa lina paa mbili pia linarangi nyeupe. Usikose kunamengi zaidi yakujifunza. Linaitwa ; HUDUMA YANENO LAUFUNUOAmina. USISAHAU KUMPA MUNGU SHUKURANI LEO

Comments

Popular posts from this blog

NENO LAUFUNUO LA LEO tazama Ayubu 8:7"Tena ujapokuwa huo mwanzo wako ulikuwa mdogo,lakini mwisho wako ungeongezeka sana"NENO LA UFUNUO LASIKU YAKO LEO. MUNGU ANAKUTAKA USIWE NAMAWAZO YA KUDHARAU MWANZO WAKOMDOGO. KWAMAANA TABIA YA MUNGU NIKWAMBA,YEYE HUWA HAUDHARAUMWANZO MDOGO. HATAKAMA NIMWANZO MDOGO YEYE HATAUDHARAU. "Mungu alianza na mwanadamu mmoja,leo hii wako mabilioni. Yesu alianza na wanafunzi kumi nawawili,leohii anawafuasi wengi hata hawana idadi maanawengine walishatangulia mbinguni. Historia yamakanisa mengi Africa na ulimwengu kwaujumla,yalianza namwazo mdogo sana lakini yamekuwa makubwa nayakushangaza."KILA MWANADAMU CHINI YAJUA ANAPITIA UZOEFU HUU WA KIPINDI CHAMWANZOMDOGO.LEO INABIDI UJIULIZE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WAJAMBO GANI? JE UKO KWENYE MWANZOMDOGO WA KUANZISHA KAZI YAMUNGU? JE UKO KWENYEMWANZOMDOGO WANDOA? UKO KWENYEMWANZO WABIASHARA? UKO KWENYE MWANZO WA OFISI MPYA? UKO KWENYE MWANZO WAUCHUMBA? UKO KWENYE MWANZO WA AJIRA? UKO KWENYE MWANZO GANI? TAZAMA zekaria 4:10"maana ninani aliyeidharau siku yamambo madogo?.....OK. UNAONYWA! USIDHARAU MWANZO MDOGO ULIO NAO LEO. USIVUNJWE MOYO NAMWANZO MDOGO. USIKATISHWETAMAA NAMWANZO MDOGO.USIJIWAZIE VIBAYA KWASABABU YA MWANZO WAKO MDOGO. LEO,PIGA MOYO WAKO KONDE UCHANGAMKE MWISHO WAKO NIMZURI. MWISHO WAKO NIMKUBWA. POKEA NENO HILI LAUFUNUO ALILO KUTUMIA MUNGU SIKU YALEO.JITAHIDI UJE KANISANI UPATE MAELEKEZO ZAIDI. HUDUMA YA NENO LAUFUNUO CHINI YA MWANGALIZI MKUU MWL NA MTUME ARAM J.KAYENGELA IMEFANYIKA BARAKA SANA YAKIROHO NAKIMWILI KWAWOTE WALIO FANIKIWA KUJIUNGA RASMI. NIHUDUMA YAKIROHO YENYE UHUISHO MPYA KATIKA SIKU HIZI ZA HATALI AMBAZO KANISA LIMESAHAU UPENDO WAKWANZA.KANISA LIMEPOA.WATU WAKO MOTO KISIASA ILA KIROHO WAMEPOA KABISA.NINYAKATI ZA YEYE ALIYE NASIKIO AYASIKIE HAYA AMBAYO ROHO ANAYAMBIA MAKANISA.HERI MWENYE SIKIO LAKUSIKIA SASA. NIMUDA WAKO WAKUJA KWENYE NENO LAUFUNUO IKIWA ULIMUULIZA MUNGU AKUONYESHE NIWAPI UENDE. SIMAMA KWAMIGUU YAKO NAUCHUKUE HATUA. 0763359745/0712583194

MFULULIZO WA MAFUNDISHO YA APOSTLE ALAM J. KAYENGELA KWENYE KONGAMANO LA SIKU NANE ARUSHA TANZANIA (TAREHE 5-12 MWAKA 2013)

SEHEMU YA PILI