Leoleoplus,com

Popular posts from this blog
MFULULIZO WA MAFUNDISHO YA APOSTLE ALAM J. KAYENGELA KWENYE KONGAMANO LA SIKU NANE ARUSHA TANZANIA (TAREHE 5-12 MWAKA 2013)
By
Unknown
SIKU YA 4: · MIUNGU YA YEZEBELI NA KIZAZI HIKI. - Yezebeli alizaliwa katika familia ya waabudu miungu, wasiomuabudu BWANA MUNGU ALIYEHAI. Baba yake aliitwa Ethbaal ambaye alikuwa Mfalme wa Sidoni. Yezebeli alikuwa na muunga niko wa kishetani tokea akiwa kwa baba yake. Ethbaal babayake Yezebeli kama jina lake lilivyo, alikuwa moja kwa moja amejiunganisha na milango ya kuzimu – hata jina lake akaliunganisha na miungu aliyoiabudu na kuitumikia. Alikuwa mchawi na mshirikina wa viwango. Baada ya miaka 38 ya utawala wa Mfalme Asa, katka Israel – Ahabu alichukua kiti cha ufalme. Ahabu alitafuta mke na kumuoa Yezebeli binti wa Ethbaal aliyekuwamchawi namwenye ibada bandia za kishetani – Ifalme 16:29 – 31. - Yezebeli katika kiwango...
KUJUA KUTEMBEA NA MUNGU NIPAMOJA NAKUJUA KUSOMA ALAMA ZA NYAKATI KATIKA ROHO
By
Unknown
Kuna aina kama 4 zanyakati katika ulimwengu wa roho,lakini zote zikielezea hali moja 1.Nyakat za giza kiroho 2.Nyakati za jangwani kiroho 3.Nyakati za usiku kiroho 4.Nyakati za kiangazi kiroho Kwanamna yoyote lazima kilamtu ajue kuwa,nyakati hizi huwa zinamkuta nawala haziepukiki.Nninyakakati za asiri katika roho,haziepukiki *Hizi nizile nyakati ambazo,Mungu anakuwa ameuweka moyo wako kwenye darubini aumaabara yakiroho ili kupima nakuangalia kina cha upendo wako kwake-Daudi alili jua vema jambo hili nakumwambia Mungu amjaribi nakumpima-Zab 26;2 *Kwamaana nyingine,nyakati hizi,nizile ambazo kiuhalisi,inaonekana kama vile Mungu hayuko kati kati ya maisha yako,kamavile hajishughulishi kwa lolote kuhusu wewe binafsi,kama vile maombi yako nikelele tu na kujichosha bule,kama vile Mungu hakutetei kwa lolote. -Hatakama moyo wako unampendeza Mungu kiasi gani,lazima tu,moyo wako utapitia uzoefu huu Ukisoma katika matendo 13;22-unaona wazi kwamba,Daudi alikuwa nasifa muhimu ya...
Comments
Post a Comment