Leoleoplus,com
Popular posts from this blog
Huduma ya Neno La Ufunuo
By
Unknown
-
Mtumishi huyu anapokea mialiko ya kuhudumu bila ubaguzi wowote wa kidini, au kidhehebu katika makongamano na mikutano mbali mbali pamoja na semina ndni na nje ya nchi. Ni mwalimu aliyepewa neema ya neno la ufunnuo kwa ajili ya kulisaidia kanisa la kizazi hiki ulimwenguni Mungu amempaka mafuta yakusaidia watumishi wa Mungu kwa namna mbalimbali kiroho katika kizazi hiki. Mtumishi huyu ni mmoja ya watumishi waliopata neema ya pekee ya uandishi wa vitabu vyenye mguso dhahiri wa kiroho. Ni mmoja ya watumishi wanaoandika vitabu kwa kuambiwa na kuongozwa Muungu moja kwa moja. Mpaka sasa ameandika vitabu vifuatavyo;
MFULULIZO WA MAFUNDISHO YA APOSTLE ALAM J. KAYENGELA KWENYE KONGAMANO LA SIKU NANE ARUSHA TANZANIA (TAREHE 5-12 MWAKA 2013)
By
Unknown
-
SIKU YA 4: · MIUNGU YA YEZEBELI NA KIZAZI HIKI. - Yezebeli alizaliwa katika familia ya waabudu miungu, wasiomuabudu BWANA MUNGU ALIYEHAI. Baba yake aliitwa Ethbaal ambaye alikuwa Mfalme wa Sidoni. Yezebeli alikuwa na muunga niko wa kishetani tokea akiwa kwa baba yake. Ethbaal babayake Yezebeli kama jina lake lilivyo, alikuwa moja kwa moja amejiunganisha na milango ya kuzimu – hata jina lake akaliunganisha na miungu aliyoiabudu na kuitumikia. Alikuwa mchawi na mshirikina wa viwango. Baada ya miaka 38 ya utawala wa Mfalme Asa, katka Israel – Ahabu alichukua kiti cha ufalme. Ahabu alitafuta mke na kumuoa Yezebeli binti wa Ethbaal aliyekuwamchawi namwenye ibada bandia za kishetani – Ifalme 16:29 – 31. - Yezebeli katika kiwango...

Comments
Post a Comment