SAA HII UNAWAZA NINI?
*Kile unacho kiwaza saa hii,nimuhimu sana kwa shetani nakwa Mungu pia nakwako.
Ukisoma katika 2kor 10;3-5-una ona vitu 3
1.kuangusha mawazo
-maana yake,si kila wazo linapaswa kusimama kwenyemaisha yako
2.kuteka nyara kila fikra ipate kumtii Kristo
-maanayake,nikujua kuziongoza fikra zako
3.kile kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu
-Nilile wazo linalo inuka kinyume na elimu ya ufahamu wa kiMungu ulio nao katika wokovu-MFANO
-Wazo lina inuka nakukwambia-Yesu Kristo ingawa alikuwa tajiri,alifanyika masikini ili wewe uwe tajiri-mbona masikini? je,utakuwa uko sawa na Mungu?
-Yesu Kristo alipigwa ili uwe mzima-mbona mgonjwa?
-Hii ni nguvu inayo jiinua kwenye akili yako ili kushambulia elimu ya Mungu ndani yako
MAMBO 8 YAKUSAIDIE KUPATA MWANGA ZAIDI JUU YAKILE UNACHO KIWAZA SAAHII;
1.Je, unalo liwaza muda huu,halikuletei hofu?
2.Unalo liwaza saa hii,siyo shambulizi la furaha yako?-maana yake,halihusiki kushambulia furaha yako?
3.Je,unalo lifikiri muda huu,hali kuletei hali ya kucha nga nyikiwa?
4.Je,unalo liwaza saahii,siyo shambulizi kwa mwenzako?
5.Unalo liwaza muda huu,hali kuongezei uchungu?
6.Je,unalo lifikiri muda huu,lina kibali kwa Mungu?
7.Unalo liwaza saahii,halichochei chuki yoyote kwa mtu yeyote?
8.Je,unalo liwaza,halikuletei umasikini?
Ukisoma katika 2kor 10;3-5-una ona vitu 3
1.kuangusha mawazo
-maana yake,si kila wazo linapaswa kusimama kwenyemaisha yako
2.kuteka nyara kila fikra ipate kumtii Kristo
-maanayake,nikujua kuziongoza fikra zako
3.kile kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu
-Nilile wazo linalo inuka kinyume na elimu ya ufahamu wa kiMungu ulio nao katika wokovu-MFANO
-Wazo lina inuka nakukwambia-Yesu Kristo ingawa alikuwa tajiri,alifanyika masikini ili wewe uwe tajiri-mbona masikini? je,utakuwa uko sawa na Mungu?
-Yesu Kristo alipigwa ili uwe mzima-mbona mgonjwa?
-Hii ni nguvu inayo jiinua kwenye akili yako ili kushambulia elimu ya Mungu ndani yako
MAMBO 8 YAKUSAIDIE KUPATA MWANGA ZAIDI JUU YAKILE UNACHO KIWAZA SAAHII;
1.Je, unalo liwaza muda huu,halikuletei hofu?
2.Unalo liwaza saa hii,siyo shambulizi la furaha yako?-maana yake,halihusiki kushambulia furaha yako?
3.Je,unalo lifikiri muda huu,hali kuletei hali ya kucha nga nyikiwa?
4.Je,unalo liwaza saahii,siyo shambulizi kwa mwenzako?
5.Unalo liwaza muda huu,hali kuongezei uchungu?
6.Je,unalo lifikiri muda huu,lina kibali kwa Mungu?
7.Unalo liwaza saahii,halichochei chuki yoyote kwa mtu yeyote?
8.Je,unalo liwaza,halikuletei umasikini?
Comments
Post a Comment