NENO LAUFUNUO LAWIKI HII KWA KANISA ULIMWENGUNI
KUSIMAMA NA MUNGU
1.Kusimama na Mungu maanayake nikuwa na msimamo rohoni mwako katika Neno la Mungu
2.Bakia kwenye msimamo-ninapo sema ubakie kwenye msimamo nina maanisha nini?
-nina maanisha kwamba,-
MFANO
1Samweli 1;1-19-Hana.alikuwa namsimamo wa kutokufikilia njia mbadara zisizo faa zakujipatia mtoto-mstali wa 20-hatimae alichukua mimba.Haya nimatokeo yamsimamo.Hatimaye unachukua mimba.
Mimba iki wakilisha,Nguvu ya Mungu inayo kuja juu yako ili kusababisha kitu furani kutokea kwenye maisha yako.
Katika kitabu cha mwanzo 17;15-19-inaonyesha wazi kwamba,kihalisi,Iblahimu alikuwa amesha poteza imani akilini mwake,alibaki namsimamo tu, rohoni mwake,kwamba,Mungu anaweza kufanya alicho sema-Rumi 4;20-21.
Tazama pia mwanzo 21;1-7-hatimae Iblahimu alipata mtoto.Mstali wa 6-7-inaonyesha kwamba,ukiwa na msimamo rohoni mwako,hatimae una fanyiwa kicheko.Yaani Mungu ana kjibu.
3.NIWAPI WEWE UNAHITAJI MSIMAMO?
1.Unapo kuwa mgonjwa.
-mathayo 8;17,Isaya 53;4-5.Mambo mawili uya angalie kwenye mistali hiyo miwili;
1.Mwenyewe aliuchukua udhaifu wetu akaya chukua na magonjwa yetu
2.Kwakupigwa kwake sisi tumepona.
-Huo ndio unakuwa msimamo wako rohoni mwako,siyo kwenye akili yako.
2.Wakati unapo pitishwa kwenye maneno mabaya ya kunenewa kwa uongo hasa yale yanayo umiza fira zako-wakati huo unatakiwa uwe na msimamo katika Neno la Mungu.
3.Wakati unapo kuwa kwenye kipindi kigumu cha maisha kiasi kwamba unakuwa umesha poteza imani kwernye akili yako,hapo unatakiwa ubakie kwenye msimamo wak rohoni mwako katika Neno,huku ukijua kwamba,kila jambo linawakatiwake,halafu unajisemea mwenyewe kwenye roho yako kwamba-NITA INGOJA KESHO YANGU-Yoshua 3;5
NDUGU MSOMAJI-kama uta kuwa na kiu yakujifunza mengi zaidi,wasiriana ma Apostle Alam J.Kayengela kwa no.0763 359745 na 0712 583194
UBARIKIWE
1.Kusimama na Mungu maanayake nikuwa na msimamo rohoni mwako katika Neno la Mungu
2.Bakia kwenye msimamo-ninapo sema ubakie kwenye msimamo nina maanisha nini?
-nina maanisha kwamba,-
MFANO
1Samweli 1;1-19-Hana.alikuwa namsimamo wa kutokufikilia njia mbadara zisizo faa zakujipatia mtoto-mstali wa 20-hatimae alichukua mimba.Haya nimatokeo yamsimamo.Hatimaye unachukua mimba.
Mimba iki wakilisha,Nguvu ya Mungu inayo kuja juu yako ili kusababisha kitu furani kutokea kwenye maisha yako.
Katika kitabu cha mwanzo 17;15-19-inaonyesha wazi kwamba,kihalisi,Iblahimu alikuwa amesha poteza imani akilini mwake,alibaki namsimamo tu, rohoni mwake,kwamba,Mungu anaweza kufanya alicho sema-Rumi 4;20-21.
Tazama pia mwanzo 21;1-7-hatimae Iblahimu alipata mtoto.Mstali wa 6-7-inaonyesha kwamba,ukiwa na msimamo rohoni mwako,hatimae una fanyiwa kicheko.Yaani Mungu ana kjibu.
3.NIWAPI WEWE UNAHITAJI MSIMAMO?
1.Unapo kuwa mgonjwa.
-mathayo 8;17,Isaya 53;4-5.Mambo mawili uya angalie kwenye mistali hiyo miwili;
1.Mwenyewe aliuchukua udhaifu wetu akaya chukua na magonjwa yetu
2.Kwakupigwa kwake sisi tumepona.
-Huo ndio unakuwa msimamo wako rohoni mwako,siyo kwenye akili yako.
2.Wakati unapo pitishwa kwenye maneno mabaya ya kunenewa kwa uongo hasa yale yanayo umiza fira zako-wakati huo unatakiwa uwe na msimamo katika Neno la Mungu.
3.Wakati unapo kuwa kwenye kipindi kigumu cha maisha kiasi kwamba unakuwa umesha poteza imani kwernye akili yako,hapo unatakiwa ubakie kwenye msimamo wak rohoni mwako katika Neno,huku ukijua kwamba,kila jambo linawakatiwake,halafu unajisemea mwenyewe kwenye roho yako kwamba-NITA INGOJA KESHO YANGU-Yoshua 3;5
NDUGU MSOMAJI-kama uta kuwa na kiu yakujifunza mengi zaidi,wasiriana ma Apostle Alam J.Kayengela kwa no.0763 359745 na 0712 583194
UBARIKIWE
Comments
Post a Comment